Duh wewe umeshindikana!
Basi nitakubebea za kutosha hope zitatusaidiaAahahahahahahhhahahaa
Bataringaya banaa
Ndosi alininyoosha nikakaa sawa ila wahuni wa Azajangwa, Tambazana na Jiitewute walinikorogea bange kwenye soda besdei yangu ya miaka 18, tangu hapo nalipuliza aste aste.
Ila fresh tuu, kila nikivuta inateremkia kwenye via 🤪
Ikiteremka tuu napata stamina ya ajabu nakumbia kilomita 10 hadi 21 nonstop. Nikitoka hapo naoga nalala nikiamka nakuwa mpoleeee, mkimyaaa, adabu na busses kama zote zikisindikizwa na tabasamu angavu lenye soni 😅
Matata K.
Namba E kutakuwa na EAR,EYE,EVE,EVA,EDY,ETC
Basi nitakubebea za kutosha hope zitatusaidia
Ha ha ha I na O hazitumiki so EOC,EGO hazitakuwepo
Hazitumiki kwasababu 0 inachanganya na OMmmhh kwanini hazitumiki, nimejaribu kuwaza ina maana hakuna plate inayosoma MVI..!!? Binafsi sijapishana na namba ya hivo ila sijajua sababu ni nini..!!
MUA je..!!? Itakuwa ilisajiliwa..!?
Kwahiyo ikifika usajili wa U hakutakuwa na USO...!🤔🤔😅😅😅
Okay, hapo nimeelewa. 🍻Hazitumiki kwasababu 0 inachanganya na O
1 na I
Kwanza M hatujafika ndio Kwanza D. Tukifika M utakuwa unatembelea mkongojo!Mmmhh kwanini hazitumiki, nimejaribu kuwaza ina maana hakuna plate inayosoma MVI..!!? Binafsi sijapishana na namba ya hivo ila sijajua sababu ni nini..!!
MUA je..!!? Itakuwa ilisajiliwa..!?
Kwahiyo ikifika usajili wa U hakutakuwa na USO...!🤔🤔😅😅😅
Tushakubaliana ukifika uzi wa mwenye magari kila mtu anakuwa na gariSisi tusio hata na baisekeli tukomenti wapi?
If i could turn back the time...Mwisho wa mwaka huu ndio ushafika. Wengine huwa tunapambana mwaka mzima siku za mwisho kama hizi ndio tunapumzika. Wale wa road trips ndio wakati wetu huu kupiga masafa mafupi,marefu na ya Kati. Mwaka huu napiga mikoa ya kaskazini Tanga,Kili na Arusha. Je mwenzangu road trips zako wapi?
Raha ya road trip inabidi uwe na
1. kampani nzuri (pisi Kali itapendeza)
2. gari yenye uwezo (nimetoa kitu DVA ndio trip yake ya Kwanza hii)
3. mfuko uwe na afya kidogo
All in all drive safe and take care
mng'ato
Boeing 747
Kwanza M hatujafika ndio Kwanza D. Tukifika M utakuwa unatembelea mkongojo!
Nitakusaidia kukimbia hizo 21km
Ikifika F mnishtue.nasubiri E nivute kitu
Hapa bado pisi kali (mpya lakini)Mwisho wa mwaka huu ndio ushafika. Wengine huwa tunapambana mwaka mzima siku za mwisho kama hizi ndio tunapumzika. Wale wa road trips ndio wakati wetu huu kupiga masafa mafupi,marefu na ya Kati. Mwaka huu napiga mikoa ya kaskazini Tanga,Kili na Arusha. Je mwenzangu road trips zako wapi?
Raha ya road trip inabidi uwe na
1. Kampani nzuri (pisi Kali itapendeza)
2. Gari yenye uwezo (nimetoa kitu DVA ndio trip yake ya Kwanza hii)
3. Mfuko uwe na afya kidogo
All in all drive safe and take care
mng'ato
Boeing 747
magufuli akishatoka madarakaniIkifika F mnishtue.
Kwanini mpya? Chukua ulizokwisha zitumia.Hapa bado pisi kali (mpya lakini)View attachment 1651529View attachment 1651532
Duh! Road trip ya kibabe....saluteHapa bado pisi kali (mpya lakini)View attachment 1651529View attachment 1651532