Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Labda kwa sababu ya hizi sikukuu wachaga wamerudi sana makwao! Machinga wanaokera ni wale wa Friends corner ikifka jioni jioni.

Barabara ipi finyu? Arusha ina four ways kwa baadhi ya barabara, wapi palikufinya?
Kuingia na kutoka mjini ni nightmare.
 
Sikukuu wakati wa kukaa na familia.
hata hiyo mkitupa si haba
mm wanangu nimewaachia Ice cream za azam baada ya kushindilia pilau na soda baadae nikawazungusha Chinangali, Nyerere square, kufika Dodoma Hotel swimming pool la baridi hasa na kimvua hichi, naenda waachahome
WASWANU ni kuanzia saa 2 mm alone na serengeti mpaka asubuhi, Pub siwezi
 
hata kwa sasa hapo Arusha mnacelebukia wapi?
kuna viwanja km Makao mapya Arusha usiseme usiseme Bar zote zianageuka Guest jua likitua, Mianzini kuna kile cha Arusha wanatafuna na kuvuta bado mirungi
mpaka mwaka mpya RRONDO tuporomoshee uzi usilale mpaka 01/01/2021
Nipo the don now....kiwanja classic
Depal
 
Back
Top Bottom