Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wakati nakuja Arusha nilikuwa na mdogo angu.

Yeye anapenda amshaamsha.

Nikamwambia hizo 30K tutakazopigwa zikifika 5 tu ni full tank kabisa ya kututoa Dar mpaka Arusha.

Akawa mpole ila njiani hatukukuta trafic. Ndo tukajiachia haswa.

Nadhani wakati wa kurudi ndo ntawakuta wa kutosha.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Sema fine sini moja tu kwa mujibu wa yule bwana aliyetumbuliwa. Ukipigwa cheti cha 30K unaonesha cheti kila ukipigwa mkono.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini Kuna vyuma namba A vinaita achaa ving'wasuuu, Cheki hio CRUISER hapoView attachment 1664221
1HD-FTE dah hii kitu huwa inanikosha sana.

Landcruiser nyingi hazichakai sababu ya ground clearance yake iko juu. Ukiikuta kwa mtunzaji anayejua gari lazma uikute iko Piruu, haina mikwaruzo wala dents. Its built to last for 25 years without major issues.
 
Kifuatacho soon tutaingia namba E....Basi hawa wa Namba E watakuwa wanaona Dunia nzima ni yao....utakutana na Porte namba E jamaa kavaa miwani nyeusi, kakata kishoka, ndevu kaziachia kama brush....yaani atatuona tuliobaki wote ni washamba tu..[emoji848][emoji848]...akisimamishwa na askari, ataongea kwa kiburi cha namba E, basi askari hapo anachora vyeti tu.

Hawa wenye D wataanza kujiona kama sisi wenye C tunavyojiona leo hii..

Wenye C tutajiona kama wanavyojiona wenye B leo hii..

Wenye B watajiona kama wanavyojiona wenye namba A leo hii...

Wenye namba A watajiona wamerudishwa enzi za namba TZ 009844[emoji21]

Wale ambao waliwahi kuwa na namba TZ.......watajihisi wanaishi on the other side of the hell....[emoji26][emoji26]

Ndiyo Tanzania hii imetawaliwa na Plate namba na Low mileage..
Watatusumbua sana
 
Ah matraffic huwa wanakera sana aise! Halafu huwa wanasimamisha watu fulani fulani tu wengine hawawasimamishi!

Ndiyo maana wanajeshi huwa wanawaonea sana! Kuna mwanajeshi mmoja aliwaambia live "na nitawasumbua sana nyie"!
Wanatuonea dagaa tu, kambale hawawagusi 😂😂😂
 
Yes. Unapaswa kuwa mbunifu. Unakua na matukio ya utundu mpaka watu wanasema umedanganya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] kwamfano kama hapa unaweza fanya matukio barabarani huko mpk wanaume wanauliza we ni mwanamke kweli?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Najisikia kucheka jaman. Unakamatwa unasema naenda mochwari kutambua maiti jamani eeh.... ilaaaa... mpk trafiki anakuambia nimeshachoka makosa yako kuna siki utaniua na mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] napenda jaman haya matukioooo.

Kuna siku trafiki anaitaa magari upande wetu kwenda town. Tumekaaa weee hatuiti. Pale pale kwenye mataa mawazo yalabadilika nikawa nabonyezea nichepuke palepale ghafla akawa ameita magari yetu na akatuona, sasa akawa anaita akatuita na sisi kwa ishara ya mkono teena kwa dharau sana yaan nyie njooni hapaaa kwa ishara. Na mm nikasema nakomaa yaan hapa naigeuza kama yaan anatuvuta. Nikanyoosha. Si mbele akatuibukia na bodaboda pale mataa ya chang'ombe. Bahati mbaya milango iko wazi. Akawa anafungua ila ulikua mbovu. Nikameuliza unapanda gari la nani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yule boda anasubiria maaana anadai chake kufukuzia. Tukaeleweshana pale wee wapi. Akagoma akasema lazima tugeuze turudi tulipofanyia makosa. Ubaya sasa mpk boda anatumika kama shahidi lkn kwakua yule kijana ni mhuni akamwambia lkn mzee mbona hivyo ni kuvuta magari afandee? Basi tukamwambia tunageuka ila hapandi gari yetu. Ikabidi arudi na boda yake. Kumbuka gharama zinazidi kwa boda. Pale tulimpa ten akagoma, 15 akagoma. Basi tukasema twende rurudi. Yule boda bwana Mungu ambariki sana[emoji23][emoji23] alikua anaenda mwendo wa kunyata kusudi. Trafki anamwiliza unawaona kweli. Anamwambia si hao hapo... basi bana tukawa tunaenda mwendo wa kupitezana. Mpaka tazara. Yule boda anamcheleweshea trafiki kwa mwendo mdogo[emoji23][emoji23][emoji23] pale tazara tukapiga cross barabara ya buguruni. Trafki naye akatimba tazara. Hatuoni[emoji23] qkaanza pagawaa. Akasema hawa wametobolea la bugurun lzm. Akaja bana. Sasa pale sisi tulichofanya tukapiga zetu ruti la Ilala. Nyoosha sana gotiii[emoji23][emoji23][emoji23]. Trafiki kufika buguruni pale ndo akachanganyikiwa. Akajiuliza wameelekea wapi sasa. Ilala ama ubungo? Hapo akachoka. Basi akakasirka sana akawa amechoka kweli. Akataka kumrelease bodaboda aende hajamlipa. Bodaboda alikiamshaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] trafiki akatoa elf 15 ya watu. Mpk kesho sitaki kimbuka. Nilijaenda kijiweni kwa huyo boda tukapiga sana story nikamtoa bwana kama furaha na shukrani
Katika makosa ambayo siwezi fanya ni kumkimbia traffic wa Dar!

Barabara ni za kishenzi sana utakimbia dakika 5 tayari ushataitika kwenye foleni. Lazma akuotee tu! Ila mkoani ukipiga cross ya kwanza na ya pili ushampotea. Unakamua kweli kweli
 
Sema fine sini moja tu kwa mujibu wa yule bwana aliyetumbuliwa. Ukipigwa cheti cha 30K unaonesha cheti kila ukipigwa mkono.
Bwana aliyetumbuliwa alisema kama taa haiwaki, tairi kipara, kioo kina ufa, honi haipigi...usiandikiwe makosa 4....vyote hivyo uandikiwe kosa moja kuwa gari ni bovu.....Kuna baadhi ya trafiki waungwana wanafuta hii kauli, wengine wanakomaa ili uache ya kiwi usipewe cheti..

Ila kama una cheti cha kioo cheny ufa, ukizidisha speed unapewa cheti kingine, usipofunga mkanda unapewa cheti kingine....hayo ni makosa matatu tofauti kabisa ambayo hayahusiani..

Sema tu sometimes trafiki wanatubeba, unamuonyesha cheti cha tairi mbovu, anakusamehe kosa la over speed ila ya kiwi lazima uache..
 
Katika makosa ambayo siwezi fanya ni kumkimbia traffic wa Dar!

Barabara ni za kishenzi sana utakimbia dakika 5 tayari ushataitika kwenye foleni. Lazma akuotee tu! Ila mkoani ukipiga cross ya kwanza na ya pili ushampotea. Unakamua kweli kweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na foleni za dar ni ndoa ya kikristo wallahi
 
Katika makosa ambayo siwezi fanya ni kumkimbia traffic wa Dar!

Barabara ni za kishenzi sana utakimbia dakika 5 tayari ushataitika kwenye foleni. Lazma akuotee tu! Ila mkoani ukipiga cross ya kwanza na ya pili ushampotea. Unakamua kweli kweli
....Bora tu tutii sheria za barabarani, unawakimbia askari. wanakukamata wanakufanyia hivi...halafu hapo unakuta upo na wakwe zako..[emoji26][emoji26]
FB_IMG_16097668657642248.jpg
 
Katika makosa ambayo siwezi fanya ni kumkimbia traffic wa Dar!

Barabara ni za kishenzi sana utakimbia dakika 5 tayari ushataitika kwenye foleni. Lazma akuotee tu! Ila mkoani ukipiga cross ya kwanza na ya pili ushampotea. Unakamua kweli kweli
Siku hizi ukimkimbia anapanda bodaboda kukufukuzia. Halafu kukimbia traffic police ni issue serious sana. Though sometimes unasimama anazingua
 
Katika makosa ambayo siwezi fanya ni kumkimbia traffic wa Dar!

Barabara ni za kishenzi sana utakimbia dakika 5 tayari ushataitika kwenye foleni. Lazma akuotee tu! Ila mkoani ukipiga cross ya kwanza na ya pili ushampotea. Unakamua kweli kweli
Jana kuna mmoja kaunga na taa nyekundu external pale akapigwa mkono akavuta,

Jamaa akampandia bodaboda nimeenda kuwakuta wamepaki pale Riverside [emoji23][emoji23]
 
Achana na ulengaji wannaa jeuri akipelekewa mteja na dalali hata washindwane bei mteja atarudi tu mwenyewe,
Wale jamaa kama wachawi vile 😀😀. Kuna gari yangu nilikuwa nauza. Kuna dalali mmoja akaniambia usijaribu peleka gari pale. Jamaa ukipeleka gari pale haito kaa ipate mteja hadi uirudishw kwao tena.. na unaweza ukawa unataka uuze labda 15 million, jamaa anakuambia anakupa 5 million..
 
Back
Top Bottom