Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Arusha mbona pakichumba sana.. nyie wana wasumbuaje asee 😀😀.. nimekuja mala kadhaa Arusha.. ila sijawi kutana na usumbufu wowote.. ni moja ya mikoa sijawai simamishwa na trafic
Niliwaona wengi double road na camera zao, nilisimamishwa Kia nilipofungua kioo tu(kina tinted) akaniruhusu niondoke bila maswali zaidi!
 
Uzi uendeeeleee mpaka mwaka uishe,uzi umenifanya niwaze jambo langu meaka huu.uzi unanifanya mwili wangu upate moto.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Na mwenye uzi yupo muda woote na ndo inavutia, kwangu mi ndo uzi ninaozungukia kila siku baada ya uzi wangu pendwa wa timu ninayoshabikia na kuipenda
 
AMINA, maana kwa sasa nikisoma mnavyoelezea mambo ya kodi naona nitulie nisome upepo kwanza.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Uzuri kodi unaijua kabla. Ingine kwenye calculator ya TRA utajua gari uitakayo itakugharimu kiasi gani.
Shida ni kuagiza gari November na December ikifika ni January ambapo hawa jamaa wanakuwa washapandisha ushuru wakati wewe imepiga hesabu 5m unakutana na 8m.
Jitahidi uaguze gari ifike ndani ya mwaka husika.
 
Uzuri kodi unaijua kabla. Ingine kwenye calculator ya TRA utajua gari uitakayo itakugharimu kiasi gani.
Shida ni kuagiza gari November na December ikifika ni January ambapo hawa jamaa wanakuwa washapandisha ushuru wakati wewe imepiga hesabu 5m unakutana na 8m.
Jitahidi uaguze gari ifike ndani ya mwaka husika.
Asante,nimekusoma mkuu.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Madalali kwny kiwanja changu walitaka kunifanya kitu mbaya nikawashtukia nika ahirisha kuliuza tu.

Wale jamaa wanaoununua magari yaliyopata ajali wao nilikutana nao anga zao.

Nilipata ajali Arusha na brevis(ile ya CC 3000) No. Yake ikiwa ni CGT na kipindi hicho no. Latest ilikua ni CHA,nilikua nimetoka dar nimeenda Arusha kwa shughuli binafsi so Arusha sio home lkn nilisoma pale Chuo cha Uhasibu kwa miaka 3 kwa hio Chuga napajua jua sana.

Gari nilikua nalipia insurance ya 3rd party tu,so gari ikawa inahitaji matengenezo kama ya mil 2.5 nikaona sio inshu ngoja niwauzie hao masela wanaoyakata.

Nikaenda pale mtaa wa Disemba kuwacheki jamaa.Nikawaonyesha picha,jamaa wa kwanza tu akaniambia nitakupa Tsh. 1mil nikaona huyu ni fala nini nikaondoka bila hata kuaga,kumbe jamaa linaniona mi ndio fala tu.

Yale majamaa yana mtandao wa kiboya sana,yakabonyezana fasta tu kwamba kuna lofa mmoja wa kutoka huko Dar kapata ajali hapa arusha na huku Arusha sio kwao anaishi Lodge so hana option nyingine tukomae nae tumpige kidwanzi.

Aisee kila nilipoenda kwa wanunuzi wengine wananiambia niwauzie kwa laki 7 wengine mpk laki 4,nikaona huu ni ushenzi tu.

Nilikua nakaa lodge kwa hio nikawa nafikiria kuliuza chap chap nisepe dar niongezee pesa kidogo then nitafute usafiri wa kuzugia wkt najipanga,baada ya hizo bei za mtaa wa disemba kuzingua nikatafuta msela wangu anayeishi pale town niliyesoma nae ikabidi nimdanganye,nikamwambia anitafutie chumba cha bei rahisi chenye parking ndani nimehamia Arusha kikazi na nitaishi kwa miezi 3(nilifanya hivyo kwa kua sikutaka kuiacha gari gereji wale jamaa wangeiba kila kitu na pia nina ndg zangu pale town nao sikutaka kuwasumbua kwa kwenda kuipaki ile gari kwao, sipendi kua mzigo kwa watu wengine).

Nikalipia kile chumba(pale sakina kwa Iddi), sh.80,000 kwa miezi 3 ikawa 240,000 breakdown ikaivuta ile ile gari mpk hapo geto nikaifunika na turubai nikarudi zangu dar(mwenye nyumba ananipigia simu akiniambia sionekani,nikawa namwambia nimesafiri kikazi).

Baada ya miezi 2 nikarudi Arusha nikaivuta ile gari mpk gereji ikatumia kama siku 12 hivi ikitengenezwa,hapo nikawa nalala kwny hicho hicho chumba wkt inatengenezwa la sivyo nilitakiwa niwe lodge kipindi chote hicho).,so gari ilirudi barabarani.So kile Chumba nililipia kwa miezi 3 ili wanilindie gari yangu tu bila wao kujua.,la sivyo ningeiacha sehemu nyingine ingenigharimu zaidi.

Was it worth struggle zote hizo?Hapo sijui lkn nilimaindi tu kuona gari niwauzie wale wahuni kwa laki 7 tu,BTW hio gari mpk leo iko naitumia kama backup i.e sanasana kwny safari zangu ndefu na mara chache hapa hapa Dar, wale jamaa wa gereji waliitengeneza vzr sana imenyooka kichizi na pia siwezi kuiuza tena kwa sasa hivi maana bei za brevis mnazijua zilivyo kwa sasa,so ni kama nimefunga nalo ndoa ya kikristo and am proud of that).

Hicho ndio kilichonitokea wakuu.
Aisee pole sana mkuu kwa mkasa huu..
Hapa kuna somo kubwa sana la kujifunza...

Mimi ni mwenyeji wa Chaga, mataa wa December naufahamu vizuri..

Wale jamaa sijui wana mtandao gani..? Ukishaulizia kitu duka moja mkashindwa bei, maduka yote utakutana na the same story..

Kuna madalali sijawahi kuona, hata bolt namba 12 ukitaka, inadalaliwa...[emoji1][emoji1]

Ule mtaa nimejenga urafiki na fundi mmoja tu, tena huyu fundi nilitafutiwa na mzee mmoja mwenye duka pale December..huyu mzee nilinunua kifaa kwake used, akaniambia atanipa kijana mzuri anifungie, kwa sababu yeye ndiyo fundi wake hata akinunua gari za kichinja ,ndiyo mvhinjaji wake..

Jamaa ni fundi mzuri na tunaelewana sana..
December, punguzeni madalali ni kero kwa wateja..[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Aisee pole sana mkuu kwa mkasa huu..
Hapa kuna somo kubwa sana la kujifunza...

Mimi ni mwenyeji wa Chaga, mataa wa December naufahamu vizuri..

Wale jamaa sijui wana mtandao gani..? Ukishaulizia kitu duka moja mkashindwa bei, maduka yote utakutana na the same story..

Kuna madalali sijawahi kuona, hata bolt namba 12 ukitaka, inadalaliwa...[emoji1][emoji1]

Ule mtaa nimejenga urafiki na fundi mmoja tu, tena huyu fundi nilitafutiwa na mzee mmoja mwenye duka pale December..huyu mzee nilinunua kifaa kwake used, akaniambia atanipa kijana mzuri anifungie, kwa sababu yeye ndiyo fundi wake hata akinunua gari za kichinja ,ndiyo mvhinjaji wake..

Jamaa ni fundi mzuri na tunaelewana sana..
December, punguzeni madalali ni kero kwa wateja..[emoji1][emoji1][emoji1]
Huo mtaa upo wapi?

Inawezekana napita ila sipafahamu.
 
Back
Top Bottom