Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Zebra zebra .. fine yake huwa inauma kinoma 😃😃😃 nilishapigwa mkeka wa zebra roho iliuma kishenzi .. alafu trafic mwehu tu maana hakukuwa na watu, ila nilipo mkazia akanilima
Wale wapale magomeni ukitokea jangwani ndo zao hizo.
Kuna siku nilidakwa pale, bahati nzuri nilikua na kijacho. Polisi mmama akaishia kumshushia kiti na kumwambia kuwa mtoto akizaliwa wakike apewe jina lake.
Mimi ambayo inayoniuma zaidi ni ile ya nenda kwa usalama sticker ya 3000 inakulamba 30000
 
Mkuu kuna mazingira mtu anakusababishia ajali na cha kukulipa hana....labda umtoe uhai..

Mimi nilishawahi kugongwa na daadala nyuma, kupambana na dereva ni katoto hakana leseni, daladala halina bima, kumsachi mfukoni ana elfu 50 tu, nikazichukua nikaenda kutengeneza gari kwa 250,000/....ila niliachana nae kiroho safi kwa sabau maisha ya barabarani bado yanaendelea......Sasa mtu kama huyo ningesema tuaze mambo ya polisi, ingekuwaje unadhani..?

Tanzania ibaki tu hivi hivi..
Nilishaona miaka ya zamani kidogo pale Mwanza(Gold crest hotel) jamaa wa mark x aligongwa kwa nyuma na toroli na taa zikapasuka,jamaa akashuka akaicheki gari yake akamcheki na msela akawasha zake gari akasepa.
 
Wale wapale magomeni ukitokea jangwani ndo zao hizo.
Kuna siku nilidakwa pale, bahati nzuri nilikua na kijacho. Polisi mmama akaishia kumshushia kiti na kumwambia kuwa mtoto akizaliwa wakike apewe jina lake.
Mimi ambayo inayoniuma zaidi ni ile ya nenda kwa usalama sticker ya 3000 inakulamba 30000
Umejuaje, kama nimepita nimekuta wamekusanya kijiji.. nilivyo waona nikawa mpoleee speed 20 .. kwenye zebra nikasimama kabisa kuangalia kushoto na kulia.. balaa likawa kwa walio tangulia😀😀😀😀
 
Hii nililambwa round about ya Kigogo,jumapili asubuhi 30,000 iliniuma ile!
Hela ya zebra inauma sana mkuu.. wakati mwingine unakuta hakuna watu, au kuna mtu mmoja nae hata hasomeki kama anataka kuvuka au lah.. mie kwa mfano issue ilikuwa ni kunyooka tu, pasipo kuangalia pande zote kama kuna mtu anataka kupita
 
Nilishaona miaka ya zamani kidogo pale Mwanza(Gold crest hotel) jamaa wa mark x aligongwa kwa nyuma na toroli na taa zikapasuka,jamaa akashuka akaicheki gari yake akamcheki na msela akawasha zake gari akasepa.
Kweli mkuu, unqmwangalia mtu cha kukulipa hana, cha zaidi unaweza ukajikuta unazua balaa lingine....unaondoka tu huu roho inauma..
 
Hela ya zebra inauma sana mkuu.. wakati mwingine unakuta hakuna watu, au kuna mtu mmoja nae hata hasomeki kama anataka kuvuka au lah.. mie kwa mfano issue ilikuwa ni kunyooka tu, pasipo kuangalia pande zote kama kuna mtu anataka kupita
Hela ya Zebra inauma lakini haifikii hela ya seat belt.....[emoji28][emoji28][emoji28]..unakuta mtu haeleweki kuwa anavuka au havuki...unapunguza mwendo, ukipita tu jamaa anavuka, unakamatwa..

Seat belt yenyewe unakuta umempa mtu lift.... Dadeki...

Ukishalimwa fine mpewa lift anakwambia "aisee pole sana, asante mimi naishia hapa..."
 
Wale wapale magomeni ukitokea jangwani ndo zao hizo.
Kuna siku nilidakwa pale, bahati nzuri nilikua na kijacho. Polisi mmama akaishia kumshushia kiti na kumwambia kuwa mtoto akizaliwa wakike apewe jina lake.
Mimi ambayo inayoniuma zaidi ni ile ya nenda kwa usalama sticker ya 3000 inakulamba 30000
Kama ujenzi wa barabara unaendelea, askari huwa wanavuna vikapu kwa vikapu...[emoji119][emoji119][emoji1][emoji1][emoji119][emoji119]

Nakumbuka upanuzi wa hii barabara ya Arsha kipande cha Tengeru-Sakina....speed limit ilikuwa 40, watu wakiona tochi wanaenda 50.. [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji28][emoji28][emoji28]

Kuna point askari walikuwa wanaipenda, yaani wanavuna fine za kutosha...
 
Hela ya Zebra inauma lakini haifikii hela ya seat belt.....[emoji28][emoji28][emoji28]..unakuta mtu haeleweki kuwa anavuka au havuki...unapunguza mwendo, ukipita tu jamaa anavuka, unakamatwa..

Seat belt yenyewe unakuta umempa mtu lift.... Dadeki...

Ukishalimwa fine mpewa lift anakwambia "aisee pole sana, asante mimi naishia hapa..."
Naomba siku nikusababishie ili janga 😆

ila faini ya seat belt inazungumzika mbona, ukiikubali we mzembe unless uwe umekutana na traffic kichomi
 
Hela ya Zebra inauma lakini haifikii hela ya seat belt.....[emoji28][emoji28][emoji28]..unakuta mtu haeleweki kuwa anavuka au havuki...unapunguza mwendo, ukipita tu jamaa anavuka, unakamatwa..

Seat belt yenyewe unakuta umempa mtu lift.... Dadeki...

Ukishalimwa fine mpewa lift anakwambia "aisee pole sana, asante mimi naishia hapa..."
😀😀😀😃.. anashuka anakuachia ka msala kako.. noma tupu
 
Hela ya Zebra inauma lakini haifikii hela ya seat belt.....[emoji28][emoji28][emoji28]..unakuta mtu haeleweki kuwa anavuka au havuki...unapunguza mwendo, ukipita tu jamaa anavuka, unakamatwa..

Seat belt yenyewe unakuta umempa mtu lift.... Dadeki...

Ukishalimwa fine mpewa lift anakwambia "aisee pole sana, asante mimi naishia hapa..."
Kwani seat belt ni kosa la asievaa au dereva? UK kama asievaa belt kavuka 18yrs anapigwa yeye fine,kama ni underage ndio dereva unawwjibika!
 
Back
Top Bottom