Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Barabarani kuna watu wana roho mbaya sana, mwingine anakuletea kabisa moto, hajui mtu una wahi wapi.. nakumbuka ile picha hadi leo ilibaki mita chache viumane.. cha kushukuru gari ilikuwa na nguvu nilipeleka mguu paka kwisho ilitoka kama ndege nikashangaa nimetoka mdomoni mwa ziraeli
Mambo ya kujiamini wepesi wa chombo na kudharau malori mabaya sana, kuna siku hii January jamaa mmoja na IST hiki kipande cha kuitafuta Ubena ukitokea Mikese palikua pamenyooka fresh kuna mabus mawili mbele yao kuna lori akaanza kuyakata akiwa katikati ya lile lori la mwisho ili arudi sasa kukawa na lori linakuja mbele yake af Bus na lory yamefuatana very close alijikuta anajibanza tu in between kusubiria kudra hakua na ujanja. Luckily pembeni kulikua na nafasi kidogo lile lori linalokuja alifaya fair akatoa nje kidogo na kutembea maana angekua muhuni angeweza kwepesha horse akamwachia kichanja kimkate

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Mambo ya kujiamini wepesi wa chombo na kudharau malori mabaya sana, kuna siku hii January jamaa mmoja na IST hiki kipande cha kuitafuta Ubena ukitokea Mikese palikua pamenyooka fresh kuna mabus mawili mbele yao kuna lori akaanza kuyakata akiwa katikati ya lile lori la mwisho ili arudi sasa kukawa na lori linakuja mbele yake af Bus na lory yamefuatana very close alijikuta anajibanza tu in between kusubiria kudra hakua na ujanja. Luckily pembeni kulikua na nafasi kidogo lile lori linalokuja alifaya fair akatoa nje kidogo na kutembea maana angekua muhuni angeweza kwepesha horse akamwachia kichanja kimkate

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Mwenye IST anapata wapi ujasiri wa kufanya haya yote gari ndogo ile sana.
 
Mambo ya kujiamini wepesi wa chombo na kudharau malori mabaya sana, kuna siku hii January jamaa mmoja na IST hiki kipande cha kuitafuta Ubena ukitokea Mikese palikua pamenyooka fresh kuna mabus mawili mbele yao kuna lori akaanza kuyakata akiwa katikati ya lile lori la mwisho ili arudi sasa kukawa na lori linakuja mbele yake af Bus na lory yamefuatana very close alijikuta anajibanza tu in between kusubiria kudra hakua na ujanja. Luckily pembeni kulikua na nafasi kidogo lile lori linalokuja alifaya fair akatoa nje kidogo na kutembea maana angekua muhuni angeweza kwepesha horse akamwachia kichanja kimkate

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Ubaya mmoja madereva wa IST hawajui kama gari zao hazina nguvu. Nguvu nu muhimu sana kwenye kuovateki. Wao wanatoka tu wakati kwa gari kama ist inabidi uhakikishe hamna gari kabisa ndio upite hata lori. Sasa unakuta mtu na ist anang,ang,aniza kuipita Prado.
 
Mwenye IST anapata wapi ujuzi wa kufanya haya yote gari ndogo ile sana.
Umakini mdogo tu na kuhisi kuweza kulaza hadi 150Kph ndio kwaweza kumpa dereva jeuri ya kutoka na kurudi popote. Wachache wanajua moto wa hizi heavy duties haswa zikiwa tupu, daah kama una kibaby walker na huna uhakika usibahatishe kumkata aisee, zinamwaga moto hatariii

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Mambo ya kujiamini wepesi wa chombo na kudharau malori mabaya sana, kuna siku hii January jamaa mmoja na IST hiki kipande cha kuitafuta Ubena ukitokea Mikese palikua pamenyooka fresh kuna mabus mawili mbele yao kuna lori akaanza kuyakata akiwa katikati ya lile lori la mwisho ili arudi sasa kukawa na lori linakuja mbele yake af Bus na lory yamefuatana very close alijikuta anajibanza tu in between kusubiria kudra hakua na ujanja. Luckily pembeni kulikua na nafasi kidogo lile lori linalokuja alifaya fair akatoa nje kidogo na kutembea maana angekua muhuni angeweza kwepesha horse akamwachia kichanja kimkate

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Hizo ndio kamari zenyewe ambazo naziongelea imagine lingekuwa eneo ambalo pembeni kuna kingo za daraja au korongo lazma wangempa kitu 😂😂😂
 
Ubaya mmoja madereva wa IST hawajui kama gari zao hazina nguvu. Nguvu nu muhimu sana kwenye kuovateki. Wao wanatoka tu wakati kwa gari kama ist inabidi uhakikishe hamna gari kabisa ndio upite hata lori. Sasa unakuta mtu na ist anang,ang,aniza kuipita Prado.
Hahahahah wanapambana nao, hivi IST ina horsepower kiasi gani ile? Mtu anapambana kukiminya kigari kikimbie chuma haisogei 😁😁😁
 
Umakini mdogo tu na kuhisi kuweza kulaza hadi 150Kph ndio kwaweza kumpa dereva jeuri ya kutoka na kurudi popote. Wachache wanajua moto wa hizi heavy duties haswa zikiwa tupu, daah kama una kibaby walker na huna uhakika usibahatishe kumkata aisee, zinamwaga moto hatariii

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Kwa IST ni kujiweka hatarini. Sio gari salama kabisa
 
On safety point of view ni vyema kusimama walau baada ya Kms 200 ama 4Hrs drive for body stretching na kukagua chombo hapa na pale, b4 kulisongesha. Normalize hiyo tabia Mzee [emoji4][emoji4]

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Nikisimama hovyo nakata stimu, confidence inashuka sana na mood ya safari inapotea.

Huwa natumia km 50 za mwanzo wa safari kujenga confidence.

Nikiwa natoka mwenge kwa mfano, mpaka nafika tegeta kuna makosa ya kizembe sana huwa nafanya. Na huwa naendesha kwa stress sana.

Ila kuanzia bunju, akili yangu inakaa sawa. Confidence inaongezeka. Toka hapo, namwaga moto mpaka mwisho wa safari.

Kuna siku nilisafiri na mdogo wangu, akafika maeneo ya same akataka kuchimba dawa, nikamwabia utachimba destination. Aliniona kauzu sana ila ndo hivyo. Inabidi azoee.
 
Kwa IST ni kujiweka hatarini. Sio gari salama kabisa
Nishawahi kumsaidia dada mmoja kuendesha from Moro to Dar though alinipakia kama abiria...

Kuovertake kwenye IST is a very stressful experience. Yani unabinya chuma haitii. Afu unaona taa zile mtu kaiva anakuja. Ukimaliza overtake unasema Alhamdulillah.

Harrowing
 
Nishawahi kumsaidia dada mmoja kuendesha from Moro to Dar though alinipakia kama abiria...

Kuovertake kwenye IST is a very stressful experience. Yani unabinya chuma haitii. Afu unaona taa zile mtu kaiva anakuja.
L
[emoji23][emoji23][emoji23] na wewe ushazoea kuburuza na chuma gani mbali ya bike yako matata ile.

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Nikisimama hovyo nakata stimu, confidence inashuka sana na mood ya safari inapotea.

Huwa natumia km 50 za mwanzo wa safari kujenga confidence.

Nikiwa natoka mwenge kwa mfano, mpaka nafika tegeta kuna makosa ya kizembe sana huwa nafanya. Na huwa naendesha kwa stress sana.

Ila kuanzia bunju, akili yangu inakaa sawa. Confidence inaongezeka. Toka hapo, namwaga moto mpaka mwisho wa safari.

Kuna siku nilisafiri na mdogo wangu, akafika maeneo ya same akataka kuchimba dawa, nikamwabia utachimba destination. Aliniona kauzu sana ila ndo hivyo. Inabidi azoee.
Daaah huu ukauzu sio wa nchi safari kama mnaenda kukomboa mateka bana, laza mshale but at same time road trip gotta be adventurous aisee. Some snacks kidogo, drinks kimtindo kwa asiyeendesha hata gambe freshi tu safarini humo. Bobu dere maji muhimu, short call break ni healthy for both of u dere na abiria wako

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom