Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Ila Rrondo si haya na yule ni mpare? Ama maybe alificha tu?

Huku ni anonymous kila kitu......

Jamani naomba tuu aje atokee aseme yuko salama.

Ni watu wachache sana wanaweka wazi hadi kabila zao.

Yule ni Msuya, na akasafirishwa kwenda Arusha.

Namuonea huruma Natasha bado mdogo, mrembo. Mungu amtie nguvu, si rahisi.

Video zilionesha walikuwa marafiki labda kama waliigiza.

Sijafahamu tuu, chanzo cha mauti ya Msuya.
 
Kuna kijana alioa mwaka jana December amefariki sijafahamu chanzo cha kifo chake. Huyo kijana ame trend sana kwenye status za Whatsapp picha zake za harusi.

Nahisi Karma ameunganisha kutoonekana kwa RRONDO kwenye huu uzi na kifo cha huyo kijana, hata nami ndo imeniingia akilini baada ya kuona quote ya Karma akiuliza kama kuna anayejua alipo double R.

Na kwenye status hapa JF baba Bataringaya alionekana mwisho ijumaa saa tatu asubuhi....!![emoji15][emoji15]

View attachment 1765080

Hata mie nimeanza kuhofu..... is he okay....

Baba Taibali if you are around please show up....

Hizi anonymous ID saa ingine sio...
Duuh sijasikia hiyo taarifa aise yaani ndiyo nasikia kwako! Mungu wangu naomba tu isije ikawa ni yeye jamani!

Halafu eti siku zote huwa nafikiri ninyi mwafahamiana nje ya jf! Nimeona tu kimya sana ikabidi nimuulizie humu!
 
Huku ni anonymous kila kitu......

Jamani naomba tuu aje atokee aseme yuko salama.

Ni watu wachache sana wanaweka wazi hadi kabila zao.

Yule ni Msuya, na akasafirishwa kwenda Arusha.

Namuonea huruma Natasha bado mdogo, mrembo. Mungu amtie nguvu, si rahisi.

Video zilionesha walikuwa marafiki labda kama waliigiza.

Sijafahamu tuu, chanzo cha mauti ya Msuya.
Msuya alikua amelala tu usiku akamwambia natasha anajisikia vibaya hivi moyo unaenda mbio sana nipeleke hospitali. Natasha ndo alikua anaamka wampeleke ghafla msuya akanyooka hapohapo maskini. Huo ukunga uliopigwa hapo achaaa..

Yes, natasha na mumewe were very good friends. Mimi kiatu chake hata sikitaki.

Katika mawazo yangu yote najuaga rrondo ni muhaya ndo maana akasema last Christmas anaenda kulia kaskazini as of hakua mwenyeji. And i thought u are dearly friends maskini. Ni kitu gani kimewafanya muwalink na huo msiba?
 
Msuya alikua amelala tu usiku akamwambia natasha anajisikia vibaya hivi moyo unaenda mbio sana nipeleke hospitali. Natasha ndo alikua anaamka wampeleke ghafla msuya akanyooka hapohapo maskini. Huo ukunga uliopigwa hapo achaaa..

Yes, natasha na mumewe were very good friends. Mimi kiatu chake hata sikitaki.

Katika mawazo yangu yote najuaga rrondo ni muhaya ndo maana akasema last Christmas anaenda kulia kaskazini as of hakua mwenyeji. And i thought u are dearly friends maskini. Ni kitu gani kimewafanya muwalink na huo msiba?
Siyo Muhaya
 
Back
Top Bottom