ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Kuna mwamba kasema akiwa na subaru anazikata mpaka hizi.... eti ni carina zilizochangamkaHahahahah hilo ni kama 2GR mziki mnene [emoji81][emoji81][emoji81]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mwamba kasema akiwa na subaru anazikata mpaka hizi.... eti ni carina zilizochangamkaHahahahah hilo ni kama 2GR mziki mnene [emoji81][emoji81][emoji81]
Haijui 2GR vizuri huyo! Hamna mpumbavu yeyote anagusa huo umeme! Ata 3S-GTE yenyewe manual shifter inakaa!Kuna mwamba kasema akiwa na subaru anazikata mpaka hizi.... eti ni carina zilizochangamka
Hebu hukooooo🤣🤣🤣Museme na yale mengine sasa 😂😂😂 sio munajificha ficha 😅😅😅
Oooh!!!mpaka niliulizia msiba ulipo nije jaman
hahaaaa umenikumbusha mbali sana
Hatari sana...Mkuu gari ya chini rough road/off road mbona iko wazi. Bush,ball joints,rack ends,tie rod ends etc zinakufa haraka sana
No way...Passo mbona inatembea mzee unaweza kuichukulia poa ila ukiikaa vibaya ile gx 100 hutaona nilipopita
Tatizo barabara za TZ kuna vibao vya speed limits vingi mno kwa sababu hatuna highways...Gari la kiboya ndo gari gani Mkuu?, nilikutanaga na ist road alinipita Hale tanga mi nikiwa na Subaru Forester jamaa alikaza Sana nilikuja kumpita mombo nikiwa 140 kph, Hawa jamaa wa ist , ukikutana na dereva mzuri anakuzalilisha hata Kama una gari la cc 3000 utazalilika tuu.
Nipo...hahaaaa umenikumbusha mbali sana
upo poa lakini?
Hatari sana...
Nishawahi kata ball joint tairi ya mbele, tairi ikang'ang'ania uelekeo mmoja, disk ikadondokea juu ya rim na ikaikata, baada ya rim kutoboka upepo ukapotea wote ghafla kwenye tairi...
Haya matukio yote yalitokea sekunde 10 nyingi, bahati yangu ilikuwa ni mchana na barabara ya rough na mwendo haukuwa mkubwa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi bibi wa mahaba? [emoji7][emoji7]Mother land.....
View attachment 1778129
View attachment 1778130
Falake ‘giv me luv ooh....![emoji445][emoji444]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alinipita wilayani Mwanga nilipumzika Kama nusu saa hivi ndo alinipita hapo, ila barabara ya dar to Arusha Ina ligi Sana, pale Mwanga nilifukuzana na crown athletic na Ford escape ilikua hatari Sana.crown athletic ni gari matata Sana ile.
Aiseeeh....!! Pole sana.
Umenifikirishaaa.... nimewaza hilo tukio lingenikuta mie halafu niko kwenye safari zangu..... nakuwaga pekeyangu...... aahahahahahaaaa (najikaza tuu kutokulia)