Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]anaweza jaribu bahati yake [emoji849][emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]anaweza jaribu bahati yake [emoji849][emoji849]
Nyinyi mna roho ngumu na ndio maana mnasafiri usiku. Mchana kuna vikwazo vingi ambavyo vinasaidia ku-limit mwendo.J200 series ukiwa 180 kph
wala uhisi kama unatembea, ukiacha prado mchaga sijawahi kuendesha passo, ist safari za mbali..
kidogo noah ambayo nayo speed yake ni 140 kph kidogo sana inaweza kufika 160kph na si zaidi ya hapo
Picha niliokuwa nayo kichwani ni tofauti na kilichooneshwa na rrondo.Kama tra wanagusika kwanini LED isigusike
Ila huu utaratibu wa registration naona ni mzuri kwa kweli. Nadhani mpaka namba ziishe turudi kwenye A, it might take another 40-50 years.DW sasa hivi
Pikipiki ndio zilikiwa zinafanya namba zinakimbia sana. Ulipoanza mfumo mpya wa namba, namba A,B na C ziliwahi fasta. Ila D imekaa sana na ikifika E nahisi itakaa hata zaidi ya miaka 7Ila huu utaratibu wa registration naona ni mzuri kwa kweli. Nadhani mpaka namba ziishe turudi kwenye A, it might take another 40-50 years.
Aliyebuni hii kitu tukaondokana na mfumo wa zamani wa TZ... alifikiria vizuri.
Hata ukiwasha akishakupiga hio mitaa yake unakuwa huoni kwa sekunde kadhaa. Kama kuna Lori au gari imeachwa barabarani unalivagaa.
Ndio maana inashauriwa ukipishana na mtu usiku punguza mwendo. Kuwasha taa,indicator inasaidia kujua anaekuja Yuko alert/hajalala? Akijibu unajua Yuko alert ukiona hajibu jiandae anaweza kuwa kasinzia..
Hata ukiwasha akishakupiga hio mitaa yake unakuwa huoni kwa sekunde kadhaa. Kama kuna Lori au gari imeachwa barabarani unalivagaa.
Ndio maana inashauriwa ukipishana na mtu usiku punguza mwendo. Kuwasha taa,indicator inasaidia kujua anaekuja Yuko alert/hajalala? Akijibu unajua Yuko alert ukiona hajibu jiandae anaweza kuwa kasinzia.
Wazee wa malori wanakuambia...hawakwepi kiumbe chochote chenye mfano wa mtu..Pale ruvu kwenye saa 8 usiku niko moto bati,ghafla mbele yangu kama mita 30 nikamuona mmama yuko katikati ya barabara nikamkwepa, jamaa niliokua nao kwenye walikua wamepitiwa na usingizi,gari ilivyoyumba wakaamka kwa mshtuko kwa jinsi gari ilivyoyumba, kuniuliza imekuwaje nikawaambia kuna mama alikua kati ya barabara nimemkwepa.
Jamaa wakaanza kunilaumu eti nisingemkwepa,ile safari tulikua tunatoka kucheck match ya Yanga so kulikua na gari zingine nyuma huko za jamaa zetu,baada ya kama dk 10 kuna jamaa walikua nyuma wakatupigia kuuliza tuko wapi na kama tumemuona mmama pale ruvu yuko barabarani!nikawaambia washkaji kama yule ni jini wa nyuma yetu wasingemuona.
Labda tu mama wa watu hayuko sawa tu kiakili,muda mwingine tukiwa barabarani tusiwe tunafikiria negative tu
Kwa uwakaji huo, bei yake lazima imechangamka...Zina bei sana sikumbuki ila bei juu.
Duh 50yrs vitukuu ndio watamalizia!Ila huu utaratibu wa registration naona ni mzuri kwa kweli. Nadhani mpaka namba ziishe turudi kwenye A, it might take another 40-50 years.
Aliyebuni hii kitu tukaondokana na mfumo wa zamani wa TZ... alifikiria vizuri.
Ila wangeruhusu pia utaratibu wa ku recycle registration numbers. Yaani kama nilikuwa nina gari lenye usajili wa T560CRA, halafu nikapata gari jipya na hili la zamani nimeacha kulitumia, niweze kutumia hiyo T560CRA kwenye gari jipya. Ili mradi registration card iwe updated tu kutokana na taarifa za gari jipya. Hii inakuwa kama personalise number plate ambayo unaibakiza unapokuwa na gari jipya.Ila huu utaratibu wa registration naona ni mzuri kwa kweli. Nadhani mpaka namba ziishe turudi kwenye A, it might take another 40-50 years.
Aliyebuni hii kitu tukaondokana na mfumo wa zamani wa TZ... alifikiria vizuri.
Wale madish yameyumba,hasa wa fuso ndio wanaongoza kwa ujingaWazee wa malori wanakuambia...hawakwepi kiumbe chochote chenye mfano wa mtu..
Ila wangeruhusu pia utaratibu wa ku recycle registration numbers. Yaani kama nilikuwa nina gari lenye usajili wa T560CRA, halafu nikapata gari jipya na hili la zamani nimeacha kulitumia, niweze kutumia hiyo T560CRA kwenye gari jipya. Ili mradi registration card iwe updated tu kutokana na taarifa za gari jipya. Hii inakuwa kama personalise number plate ambayo unaibakiza unapokuwa na gari jipya.
Utaratibu huu upo baadhi ya nchi za nje.