serio
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 7,340
- 4,734
Mwigumbi Maswa Lamadi Highway
Tinde isaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwigumbi Maswa Lamadi Highway
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Karma nakuona unapita kimya kimya...road trip zako vipi?
Whats Up ?
Pole na majukumu.kuhusu usiku atakuwa na changamoto. Usiku kuna limited vision hata kwae wenye good eye sight.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Daah acha tu ndugu yangu sasa hivi mambo mengi
Ila nina swali! Hivi mtu ambaye ana tatizo la kutokuona mbali anaweza akaendesha usiku kwa speed ya kuanzia 120kph na kuendelea?
ShukraniPole na majukumu.kuhusu usiku atakuwa na changamoto. Usiku kuna limited vision hata kwae wenye good eye sight.
Passo hizi hizi? Huyo wa Crown hajaamua tu. Ndio wale unaendesha zako taratibu anapita anaenda kusimulia leo nimeikata Crown kama imesimama!
Hii barabara hii..duh.... Na mara nyingi napita nikiwa nimechoka!Tinde isaka
Napenda road trip balaa, marafiki zangu ndo hawana hobby hiyo. Basi ni kupambana na tours agency tu hadi kielewekeMwisho wa mwaka huu ndio ushafika. Wengine huwa tunapambana mwaka mzima siku za mwisho kama hizi ndio tunapumzika. Wale wa road trips ndio wakati wetu huu kupiga masafa mafupi, marefu na ya Kati. Mwaka huu napiga mikoa ya kaskazini Tanga, Kili na Arusha. Je mwenzangu road trips zako wapi?...
Uko sahihi kabisa. Ila inataka moyo kwenda safari ndefu na speed ndogo. Muhimu kuwa makini,wengi wanapata ajali kwa kukosa umakini.From my experience, watu wenye magari "proper" au ya kifahari (sorry nimekosa jina sahihi), I mean the likes of VW, mercedes, BMW, Discovery nk.....kwanza wengi ni wenye uwezo kiuchumi...
hahahaha..mkuu kuwa makini..una wategemezi. You got everything to lose! Hawa vijana wa Passo waache wakimbie. mda utafika watajua tuu kwamba speed ndefu haina nishani 🙂Wengi wanajilipua tu. Ndio maana napenda kusafiri mchana kwasababu najijua naendesha kuanzia 140kph
Kukodisha gari gharama sana hasa ukiwa peke yako. Washawishi wenzio trip moja walipie,trust me jinsi watakavyoinjoi wao ndio watakuwa wanakushawishi wewe sasa.Napenda road trip balaa, marafiki zangu ndo hawana hobby hiyo. Basi ni kupambana na tours agency tu hadi kieleweke
Nimechekaaa 😂 😂 😂From my experience, watu wenye magari "proper" au ya kifahari (sorry nimekosa jina sahihi), I mean the likes of VW, mercedes, BMW, Discovery nk.....kwanza wengi ni wenye uwezo kiuchumi...
Nimeshawishi nimechoka, na kuendesha maili ndefu siwezi mimi ntafika nalazwaKukodisha gari gharama sana hasa ukiwa peke yako. Washawishi wenzio trip moja walipie,trust me jinsi watakavyoinjoi wao ndio watakuwa wanakushawishi wewe sasa.
Duh..taa nzuri sana. Vijana wa kisasa wanasema.....amazing stuff!!!![emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Nimekubali huu umeme....
Kufunga hizo bulb inapata bei gani...
Haina shida nijue bajet mapema tu, mambo ya kuanza kutia huruma sitaki aisee