Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Nimeshindwa kukadiria umbali lakini cheki hapa
Nimepanda gazeti noah old model na hiace hizi za diesel.Wanatumia new model
80? Kha? Mkuu si utalala?Huyo alikuwa anatembea kati ya 140-150kph. Hapo hata gari ingekuwa na airbag 10 huchomoki. Usiku labda uwe umefunga LED sports light ndio utaweza tembea hizo speed, vinginevyo ni bora utembee mwendo wa mateka 80kph au upambane na vibao vya 50 mchana.
Pale ruvu kwenye saa 8 usiku niko moto bati,ghafla mbele yangu kama mita 30 nikamuona mmama yuko katikati ya barabara nikamkwepa, jamaa niliokua nao kwenye walikua wamepitiwa na usingizi,gari ilivyoyumba wakaamka kwa mshtuko kwa jinsi gari ilivyoyumba, kuniuliza imekuwaje nikawaambia kuna mama alikua kati ya barabara nimemkwepa.Aisee..kwa umri sijawa ila ninakumbuka nikiwa mdogo kama darasa la tano hivi, tulikuwa tunasafiri na gari la kampuni, tufika kwenye daraja flani niliona watoto kama watano hivi wanavheza ule mchezo wa kitoto unaitwa Ukuti ukuti wa mnazi..( Watoto wa leo wanaonyoa viduku hawawezi kujua mchezo huu, wao wanajua kubeti)..
Hazimalizi sana betri?Nimeshindwa kukadiria umbali lakini cheki hapa
Adaptive LED lights?Ila gari za kisasa zina taa nzuri sana na haziumizi wanaokuja mbele yako
Unawasha indicator ya upande wa kulia kuonyesha mwisho/mpaka wa gari lako.Hawa ndio wanafanya sipendi safari ndefu za usiku.
Huyu ukipishana naye sehemu michoro/mistari ya barabarani haipo ni changamoto sana.
Kweli. Na LED, adaptive na bending lights kwa baadhi ya gari ndizo zinanipa mzuka wa kutafuta njululu ili kupata chuma cha kuanzia miaka hiyo.LED tu za gari from 2014 hivi. Niliexperience kwenye Navara ya 2017 aisee taa inapiga mbali kama mchana.
Bila shaka singida hii
Hamna dereva paleUnawasha indicator ya upande wa kulia kuonyesha mwisho/mpaka wa gari lako.
Hata ukiwasha akishakupiga hio mitaa yake unakuwa huoni kwa sekunde kadhaa. Kama kuna Lori au gari imeachwa barabarani unalivagaa.Unawasha indicator ya upande wa kulia kuonyesha mwisho/mpaka wa gari lako.
Analeta mchezo na 4GR-FSEHa ha ha mateso hayo
Kuna siku tulikuwa tunasafiri usiku kwenye GLE ya 2017.LED tu za gari from 2014 hivi. Niliexperience kwenye Navara ya 2017 aisee taa inapiga mbali kama mchana.