Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishawahi kupiga mbwa na 120kph na Toyota ilikuwa usiku, sikupata madhara zaidi ya plate number. Nafikiri ni kwasababu kimo cha mbwa wengi ni kifupi level ya bumper na ni mwepesiSpeed 180 ugonge mbwa na haya magari ya siku hizi mabampa ni fibre, unaweza ukahisi uligonga punda
Nitag huo uzi nikausime nami niweze kuchangia hukoHa ha ha mimi hapa mjini naamini siku ile niliona jini. Kuna thread niliandika humu.
Nimesafiri sn kutokana na nature ya shughul zng driver/driller tena safari nyingi za ucku lkn cjawai kutana na mauzauza yyt mkuu!Je, kuna aliyekutana na mauzauza barabarani yeye mwenyewe siyo kwa kuhadithiwa?
Iwe kwa safri za usiku ama mchana.
Kuna mashimo tu na ile migogongo ambayo inaharibu show ipo hasa mlandizi chalinze.. ila matuta naona kama yamekuwa madogo unayafukia na ukijua sehemu zenye mashimo kuna mda unatembea na 160kph tu 🙂🙂.. nilipoteza mda mlandizi baada ya kuona wakuda, ila nilipo imaliza pale mwendo wangu ulikuwa 160, narudi 140 na maeneo machache kwenye ukaguzi kama sehemu tatu nikakopeza mda.. nikakuta inefika masaa manne na nusuInawezekana; maana kama Dom-Dar ni takribani kilomita 442, hivyo jamaa kama alikuwa akitembea kwa wastani wa 145-150 kph, masaa 3 anaweza. Ila kwa barabara zetu hizi na matuta ya viazi ya kutosha sijui kama ni realistic!
Yaani Dar-Dom kama linapatikana li Autobahn letu, hata masaa 2+ kwa mtu mwenye gari yenye 260+ inawezekana.
Hiyo “migogongo” ndiyo ile mibonyeo? Aisee hiyo hata maeneo kabla na baada ya Gairo ipo. Siipendi kabisa hiyo.Kuna mashimo tu na ile migogongo ambayo inaharibu show ipo hasa mlandizi chalinze.. ila matuta naona kama yamekuwa madogo unayafukia na ukijua sehemu zenye mashimo kuna mda unatembea na 160kph tu 🙂🙂.. nilipoteza mda mlandizi baada ya kuona wakuda, ila nilipo imaliza pale mwendo wangu ulikuwa 160, narudi 140 na maeneo machache kwenye ukaguzi kama sehemu tatu nikakopeza mda.. nikakuta inefika masaa manne na nusu
ndio hiyo hiyo mibonyeo. Ina kwaza sana, sure na gairo ipoHiyo “migogongo” ndiyo ile mibonyeo? Aisee hiyo hata maeneo kabla na baada ya Gairo ipo. Siipendi kabisa hiyo.
Huku kwetu kuna shida nyingi....Sehemu gari limekolea unasikia raha, mara masai anavusha ng'ombe zake, mara punda...[emoji119][emoji119][emoji23]shida tupu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].. barabarani kuna mambo mengi sana
Aisee..kwa umri sijawa ila ninakumbuka nikiwa mdogo kama darasa la tano hivi, tulikuwa tunasafiri na gari la kampuni, tufika kwenye daraja flani niliona watoto kama watano hivi wanavheza ule mchezo wa kitoto unaitwa Ukuti ukuti wa mnazi..( Watoto wa leo wanaonyoa viduku hawawezi kujua mchezo huu, wao wanajua kubeti)Je, kuna aliyekutana na mauzauza barabarani yeye mwenyewe siyo kwa kuhadithiwa?
Iwe kwa safri za usiku ama mchana.
....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji1787][emoji1787]..Mkuu hebu acha hizi habari....[emoji23]
Unadhani huyu alikuwa anaenda speed ngapi?View attachment 1775511
Huyo alikuwa anatembea kati ya 140-150kph. Hapo hata gari ingekuwa na airbag 10 huchomoki. Usiku labda uwe umefunga LED sports light ndio utaweza tembea hizo speed, vinginevyo ni bora utembee mwendo wa mateka 80kph au upambane na vibao vya 50 mchana.Unadhani huyu alikuwa anaenda speed ngapi?View attachment 1775511
Mwigumbi Maswa Lamadi HighwayView attachment 1795696
Wazee wa location..
LED sport ligt zinapiga umbali wa mita ngapi ? nije nizifunge hizi nione mtiti wakeHuyo alikuwa anatembea kati ya 140-150kph. Hapo hata gari ingekuwa na airbag 10 huchomoki. Usiku labda uwe umefunga LED sports light ndio utaweza tembea hizo speed, vinginevyo ni bora utembee mwendo wa mateka 80kph au upambane na vibao vya 50 mchana.