ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Ndo nimeingia bambalaga hapa. Bado usiku ni wakati bora sana kwangu kusafiri. Nime enjoy balaa leoNoma sana mkuu. Sasa hivi nime cut safari zote za usiku.. usiku hunitembezi asee.. naona usiku risk kanakuwa kakubwa kidogo kuliko mchana ingawa ajari yaweza tokea mda wowote