Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Vijana mnayaweza mambo yenu.

Mi starehe za kelele sizitaki.

House party ndo nazifanya sana.

Nachoma nyama, nanunua drinks za kutosha, naita washkaji kama 5 mpaka 10.

Tunakula na kunywa, kama kuna match au movies tunaangalia wote. Ikifika saa 2 usiku kila mtu kwake.

Haya ya vidimbwi nadhani yalishanishindaga kitambo sana.
Labda na mimi siku nitakuja kutamka maneno haya [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakushusha katiksti ya Pori afu nakurudiahia hela yako
🤣🤣🤣 ndio maana sitakagi vya bei chee. Cha bei chee bora nipande bus tu.

Eti unakuta stand private car unaambiwa Arusha Dar 20K? Nani apande?

Nisipojisikia kupanda bus naingia in Drive uhakika alphard za 50K kibao. Ukitaka kiboss 100-150K na kuzidi zipo...

Dec nilienda Dar na jiwe na ishirini sikujutia... Ile safari ilikuwa bombastic sana.
 
Nimepoteza rafiki kwenye hii ajali.
IMG-20210823-WA0001.jpg
IMG-20210823-WA0002.jpg
IMG-20210823-WA0005.jpg
 
🤣🤣🤣 ndio maana sitakagi vya bei chee. Cha bei chee bora nipande bus tu.

Eti unakuta stand private car unaambiwa Arusha Dar 20K? Nani apande?

Nisipojisikia kupanda bus naingia in Drive uhakika alphard za 50K kibao. Ukitaka kiboss 100-150K na kuzidi zipo...

Dec nilienda Dar na jiwe na ishirini sikujutia... Ile safari ilikuwa bombastic sana.
nilipie hela zote hizo na gari za magazeti zipo!!
 
Over the weekend trip to Arusha almanusura nifariki asee tulikua tunasafiri usiku kutoka Daslamu kuelekea Arusha via Crown Athlete ndani ya gar tulikua wawili Mimi na Wife t be kwa vile ni usiku alikua anafumuka kuanzia 100 hadi 150 yaan hata hausomi vibao vya barabaran

Wakat anaendelea kufumuka muda huo MI nasinzia mida ya kama saa 9 ikaja kutu overtake Subaru kwa kasi sana then ikaenda kupark katikati ya barabara basi nikaamshwa wakat tunakaribia tukapark gari then nikatoka Mimi nikamuacha wife t be ndan nikawa najiuliza ni mwizi au shida ni nini akashuka Brother flan na yeye alikua anasafir na family yake bas akasalimia akanambia Bolt ya rim imetoka imeenda kupiga kwenye kioo chake Cha mbele hadi imeweka ufa

Akahisi kwa spidi tulikua tunatembea hatuwez kujua kinachoendelea hivyo tuangalie tairi zetu asee ile kuchek nikaona dalili sooner or later tulikua tunaelekea kufa maana tairi ilikua imeshikiliwa na bolt moja tu hadi Ina nesanesa bas akanisaidia kuzitafuta bolt tukapata moja tu akanisaidia tukakaza rim pale na kuniambia kwamba mbili tu zitanifikisha salama ninapoenda kuhusu kioo akanambia nisijali ataenda kueka hata sticker uhai wangu ni muhimu Kuliko pesa so Sina haja ya kutoa pesa yoyote nilimshukuru sana maana bila ya wema wake sijui tungekua marehemu au vilema May Almighty bless you and your family wherever you are
 
Back
Top Bottom