Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Weekend imeishia vyema
20210912_184313.jpg
20210912_184406.jpg
 
Mimi naweza kumfulia mtu hata kabati zima la nguo ila kuosha vyombo Sasa[emoji1751],vyangu tu naosha basi tu maana sina namna.
Acha kuoshea vyombo sabuni za vipande 'jamaa sijui mshindi. Zinatia uvivu sana. .. Ili nimelishuhudia mwenyewe 😂

Bachede kasema tunazingua na macomments haya yasiyohusu tripping.
 
Wee nilikuwa sijui eti, so ni slipway Rd, Chake chake, chole au Lincoln Rd. 🤣🤣

Wasalimie na Kahama Rd pia.

HM utupeleke basi Mamboz au Salad for days Saint Anne anne

Hahah.
Hayo ni maeneo ya kutafuta mkate wa kila siku. Hivi hujasikia Juma Nature sijui nani alituimba tunashinda Masaki kulala Mbagala?!!
 
Back
Top Bottom