Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Mimi kufua... Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo vyombo kila mtu atajioshea nyumbani!?
Hii sifa moja ya uvivu wa kuosha vyombo ishanitoa kwenye uwife material...wacha niendelee kula maisha ya pekeyangu.