Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Yaliyo mema na ya sirini hakuna aijuae kesho yake

Napanda mdogo mdogo

Nipe kituo cha kupokelea
Mungu anajua kesho yetu ..
Anatuwazia yaliyo mema.


Akujaalie pia umri mrefu utimize kusudi lake duniani na ukaishi miaka Mingi.


Matoki yakimfikia Hornet nitafanya namna nichukue hata moja [emoji847]
 
Taifa lenye furaha
IMG_20210703_002327_9.jpg
 
Nina wazo la kujenga kijijini kwetu.
Hapa mjini nitaweza kweli?[emoji848]na tumia mia hutu twa kuokoteza.

Asante kwa wazo zuri..
Makazi popote mama si lazima ujenge mjini, sasa hivi mijini kwa asilimia kubwa kumejaa makazi yanaelekea nje ya miji.

Ila nunua gari kwanza aisee, public land transport kwa nchi yetu bado ni changamoto na ni usafiri unaodharaulika.

Tusiende mbali hapo dizonga tu kuna miji kupanda taxi (kule daladala zao wanaita taxi) ni kwa foleni na ni level seats, yaani hakuna kupigana vikumbo milangoni wala kuingilia madirishani na abiria hawasimami.

Nimejaribu kuwaza hapa bongo wangeleta hiyo system na kwenye madaladala tungeweza kweli, bongo tunatumia theory ya survival for the fittest kwenye kila kitu yaani mwenye nguvu ndiye anayepata.
 
Makazi popote mama si lazima ujenge mjini, sasa hivi mijini kwa asilimia kubwa kumejaa makazi yanaelekea nje ya miji.

Ila nunua gari kwanza aisee, public land transport kwa nchi yetu bado ni changamoto na ni usafiri unaodharaulika.

Tusiende mbali hapo dizonga tu kuna miji kupanda taxi (kule daladala zao wanaita taxi) ni kwa foleni na ni level seats, yaani hakuna kupigana vikumbo milangoni wala kuingilia madirishani na abiria hawasimami.

Nimejaribu kuwaza hapa bongo wangeleta hiyo system na kwenye madaladala tungeweza kweli, bongo tunatumia theory ya survival for the fittest kwenye kila kitu yaani mwenye nguvu ndiye anayepata.
Miaka ile wakati naletwa hapa mjini nilikuta hiyo taratibu za kupanda basi ni kwa kupanga mstari Kama unawahi namba za shule na wakati wa kushuka ilitakiwa ushukie mlango wa mbele kulikuwa hakuna haya mambo ya kupimana nguvu wala kupandia madirishani

Ila ni vyema ajenge nyumba ili siku akikwama aiendeshe😀😀😀😀
 
Makazi popote mama si lazima ujenge mjini, sasa hivi mijini kwa asilimia kubwa kumejaa makazi yanaelekea nje ya miji.

Ila nunua gari kwanza aisee, public land transport kwa nchi yetu bado ni changamoto na ni usafiri unaodharaulika.

Tusiende mbali hapo dizonga tu kuna miji kupanda taxi (kule daladala zao wanaita taxi) ni kwa foleni na ni level seats, yaani hakuna kupigana vikumbo milangoni wala kuingilia madirishani na abiria hawasimami.

Nimejaribu kuwaza hapa bongo wangeleta hiyo system na kwenye madaladala tungeweza kweli, bongo tunatumia theory ya survival for the fittest kwenye kila kitu yaani mwenye nguvu ndiye anayepata.
Mwendokasi kupanda ni kwa foleni.
Imagine[emoji23]hapa naenda sota Kwenye foleni ya kupanda mwendokasi[emoji23]

Wakati wa kwenda afadhali kuna usimizi na utaratibu mzuri,,wakati wa kurudi kituo nilichopandia Jana[emoji119]walitaka watu wawameze wasimamizi kwa hasira.

Gari ni muhimu mno.
 
Miaka ile wakati naletwa hapa mjini nilikuta hiyo taratibu za kupanda basi ni kwa kupanga mstari Kama unawahi namba za shule na wakati wa kushuka ilitakiwa ushukie mlango wa mbele kulikuwa hakuna haya mambo ya kupimana nguvu wala kupandia madirishani

Ila ni vyema ajenge nyumba ili siku akikwama aiendeshe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wewe unaongelea miaka ile[emoji1][emoji38]
Hata Sasa foleni zipo Kwenye mwendokasi..
Jana kuna mtu akapanda ,akamuwekea mwenzie nafasi Kwa kuweka mzigo Kwenye siti..watu wamefika wakae anang'ang'ania seat eti amemuwekea mtu ambaye foleni yake haijafika[emoji23][emoji23][emoji23]
Watu walimshambulia,yaani Jana ilikuwa ni vituko[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom