Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Let's be honest tu.

Sasa hapa mbona ni mtu binafsi tu na sio "uanajeshi wake"

Koplo mshahara wake unatosha kabisa kumudu gharama za kumiliki kluger.
Mna ubahiliii.

Sijui starehe zinawamalizia hela? Sijui hela zenu ziko Kama za HESLB? Capt kuendesha IST? Namwambiaga badili gari anasema hela zinavuja jasho bado.
 
Back
Top Bottom