Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wakuu salama? poleni kwa mihangaiko ya maisha. Nilipotea humu ila yote ni heri ni pilika za maisha.

Jamani I need your ideas, kwa wenye uzoefu, mnaweza kushare moja au mawili kuhusu hii gari ya KIA Sportage? 2012-2013? Hapa kwetu bongo vipi zinahimilika? Do we have good fundis au dealer?

Please share your honest experience! Especially kama kuna aliyewahi miliki au deal na hii gari.

Yaani nahitaji kausafiri lakini ushuru haushikiki kabisa! Kila ninapogusa, hapagusiki....!

Extrovert Mshana Jr Holy Man Hornet Kaveli Karma na wengine wenye neno, tafadhali!!!.
Spea zinapatika mtaa wa Shaurimoyo jirani na afisi za basi za Raha Leo.

Kuna wakala wa KIA na Hyundai.

Ni gari nzuri.

Kuondoa stress zaidi kuhusu mafundi nunua kifaa kinaitwa FIXD Obd II.


(Bei yake ni ndogo tu inanunulika)

 
Saa nne usiku ukifika hapo hakuna chakula

Stand ndio tunadhani kuna amsha amsha ndio pamefubaa kama sio kuzubaa

Kuna parking ya truck mkabala na hapo

Singida ni Afadhali ya Manyoni na Misigiri kwa huduma za kibinadam

Hukufika sehem inaitwa Ubungo.. kule wanakesha nadhani pia kuna club inatwa rhode.. kuna kila huduma...
 
Trip za town zinaendelea
55CCFA90-070E-4D50-851F-3C29AC7C2E6F.jpeg
 
Unaweza ukawa na power usiwe na Authority na unaweza ukawa na Authority usiwe na power. Authority na Power vitu viwili tofauti.. Na pesa ni kitu kingine.. But behind ya pesa kuna power
By definition authority ni rightful of using/ exercising power


So ili na uwezo wa kutumia power lazima uwe na mamlaka nayo( authority).
 
For long trips, I too prefer night drive.

Changamoto kuu kwa night long ride ni 'magogo'. Ila ipo solution... pack an AK47!

-Kaveli-
Mwaka 2009 wakati tunatoka babati kuja Singinda tupofika pale Hanang (enzi hizo kuna rough road) majira ya saa saba usiku, tukashangaa kuona malori kama manne hivi yamesimama na tukawa tunasikia kelele ishara ya kwamba hakukuwa na utulivu pale.

Vuuuuup nikala break, ile tunajiuliza kuna nini au madereva wa haya malori wameamua kulala porini hapa? Mara ngongongo kwenye kioo cha gari, ile nafungua tu nikala kelbu moja matata sana.... Woote shuka chini faster faster lile jamaa likawa linakoroma, hatujakaa sawa wakaongozeka wakawa watatu.

Kwenye gari (CRUISER) tulikuwa watu wanne, yani mimi rafiki zangu wawili na mke wangu, sasa ile kutaka kuonekana mwamba mbele ya mke wangu, nikasema liwalo na liwe siwezi kuonekana dhaifu acha nice tu wakati nashuka yule mmoja aliyekuwa upande wangu nikashuka nae mazima na teke la mbupu,wakati hawajakaa sawa nikafyatua mbili juu khoo khoo niaasikia wanapiga kelele "Oyaah wana motooo "

Kuanzia sikuiyo huwa sitembei usiku sehemu zenye mapori.
 
Back
Top Bottom