Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Next time upige picha mitaa ya Meta Stand na Forest ya Zamani.
Hapa ndio Meta stand.

Forest ya zamani sijui kama nitaweza kupita huko maana sina ratiba ya huko.


Kesho nitaleta ya Kabwe..
Nitairudia pia ya keepleft(Retco)
20211116_121620.jpg
 
Karibu mkuu.

Kuna Mbeya kwetu pazuri Social club pale 8_8 kuelekea Sae,,juzi usiku niliona mafuriko ya ndinga.
Nadhani pia pana kuku wazuri.

Jombaa ngoja niweke kwenye ratiba siku mingi sana sijafika huko.

Mara ya mwisho nilifikia Beaco sijui hii kama bado ipo. kiwanja kilikua kitamu sana pale forest mpya.

ngoja tuzichange mjini tuje kula kiti moto ya Vamponj
 
Jombaa ngoja niweke kwenye ratiba siku mingi sana sijafika huko.

Mara ya mwisho nilifikia Beaco sijui hii kama bado ipo. kiwanja kilikua kitamu sana pale forest mpya.

ngoja tuzichange mjini tuje kula kiti moto ya Vamponj
Beaco ipo bado mkuu.
Na inafurika hasa msimu huu wa sikukuu.

Karibu tule kitimoto kwa bei nafuu.
 
Ht huyu drive wa su gxr katumia diffensive driving method ya kutosha vinginevyo wasingetoka, ila drive wa lorry ndio kacheza km pele kuwaachia body waseme nalo. Ajali wamesababisha wao, wameikagua wao, wameichorea mchoro wao na hukumu watatoa wao[emoji848]
Driver wa lory yuko lock up[emoji847]this is Tanzania.
 
Huyu driver wa SU alitanua baada ya kuona ile bus ya polisi imetanua. Alipoona brakes za ghafla na honi za ghafla akajua kinaumana huko mbele, fasta akashika barakes huku akimbamiza huyo hiluz ili kuepusha kwenda kuigonga ile bus kwa nyuma. Weak stability ya Hilux ikaleta manufaa kwa SU, maana SU ni heavy weight na Hilux kimbaumbau.

Nimependa driving style ya SU, ila sijapenda dereva wa lorry kupewa msala mzima.
 
Back
Top Bottom