Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

X trail km subaru duh[emoji848]
IMG_20211201_142331.jpg
 
Tunatafuta mshindi wa mwaka huu 2021 wa kusaga lami. Top 3 kwa mpangilio usio maalum ni
1. ISO M.CodD
2. Fursakibao
3. Kijana wa hovyo hovyo
Tuleteeni rekodi zenu tuamue mshindi
Kuanzia mwezi wa sita nilichukua gari ikiwa na 52,000km nimekuja kuiachia ikiwa na 76,000km hii kwa mwezi wa saba hadi november 😀😀.. hiyo ni gari one.. gari two nimetembea nayo kama 10,000km, na gari three nimetembea kama km 15,000km hapo.. sasahivi sina trip yoyote natumia usafiri wa umma- public. mwakani mwezi wa kwanza narudi kwenye mchaka mchaka hapo nitakuwa nimepunguza sanaa
 
January gari ilikuwa na 78000 km

Leo ina 108000 km and counting. Bado linakula trip, nna kama 5000km expected kabla december haijaisha.

So far 30000km in 2021 , ngoja tuone mwaka utaishaje.

Nadhani Kijana wa hovyo hovyo ataongoza list
Sasa hivi nimetulia sina trip ya private nimetulia tulii.. nina trip za public hii december mnaweza kunipiku siku bado zipo nyingi sana hapo 😊😊
 
Back
Top Bottom