kijani11
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 8,113
- 8,610
Tulifika salama. Sasa mda wa pilika baada ya mapumziko kidogo.All the best...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulifika salama. Sasa mda wa pilika baada ya mapumziko kidogo.All the best...
Huyu anaweza kuamua tu akanywe kahawa Morogoro au akale kuku Singida na kurudi Dar!January gari ilikuwa na 78000 km
Leo ina 108000 km and counting. Bado linakula trip, nna kama 5000km expected kabla december haijaisha.
So far 30000km in 2021 , ngoja tuone mwaka utaishaje.
Nadhani Kijana wa hovyo hovyo ataongoza list
Hahaaa maliza kwanza UE mdogo wanguMommah unichukue na mie nkasuuze macho, [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti eeeh?Hahaaa maliza kwanza UE mdogo wangu
Dooh yaani nilivyokumiss hivi nikijua umepotea kumbe ndiyo wewe tunapishana tu jukwaani kila siku. Nilikuwaga najiuliza tu huyu dada kapotelea wapi siku hizi jamani.
Haki ya nani vile daah [emoji1787][emoji1787]Hivi kumbe mlikuwa hamjui?
Oohh itakuwa vyedi SanaHii southern naiweka kiporo. Naweza kuipiga Easter weekend.
Holyman hana mpinzani.Tunatafuta mshindi wa mwaka huu 2021 wa kusaga lami. Top 3 kwa mpangilio usio maalum ni
1. ISO M.CodD
2. Fursakibao
3. Kijana wa hovyo hovyo
Tuleteeni rekodi zenu tuamue mshindi
Yeye pale Morogoro ni kama kutoka chumbani kwake kwenda koridoni.Huyu anaweza kuamua tu akanywe kahawa Morogoro au akale kuku Singida na kurudi Dar!
Ha ha ha pole boo. Watu wanaleta mazoea dia ndo maana nimebadilika.Dooh yaani nilivyokumiss hivi nikijua umepotea kumbe ndiyo wewe tunapishana tu jukwaani kila siku. Nilikuwaga najiuliza tu huyu dada kapotelea wapi siku hizi jamani.
Imebidi nirudi pm kwenye ule mjadala wa siku ile ndiyo kukuta jina limebadilika. Sema umejitahidi kubadili na mwandiko aisee maana nilishindwa kabisa kukutambua yaani.
Aisee.HaMna tutafika vizuri tu. Tunaondoka alfajiri Kituo Bagamoyo,kituo Msata,kituo mbwewe,kituo mkata,kituo kabuku,kituo Segera,kituo Korogwe,kituo mombo hadi Moshi jioni sana
Na wewe shujaa! Unaachiaje gari zote mara moja?mda mwingi upo mjini, sie wengine mda wowote unaamsha, hapa nimepumzika baada ya kuachia gari zote.. bila hivyo nilikuwa na route ya Dar Mwanza Tabora Lindi -- ukichapa hizi route kwenda na kurudi una akiba safi ya KM 😀😀😀
Aah! Napumzika pia ! Nashusha gari mpya kwa mpigo mbili .. tupo uchumi wa kati mkuu😀😀Na wewe shujaa! Unaachiaje gari zote mara moja?
[emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha ha pole boo. Watu wanaleta mazoea dia ndo maana nimebadilika.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
😀😀😀 hii nchi ina uonevu mwingi sana, hata kama unakuwa mnyonge unajitutumua tu unavimba kama paka anavyofanyagaHutaki unyonge
Eeh, u gotta live real mamii. Uwe wewe. Ni kama traffic tu. Anakusumbua sumbua na speed. Next time unamuingiza kwenye tyre tu unatembea.[emoji23][emoji23][emoji23]
Majukwaa yetu yale huwa unanivunja mbavu.