Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wengi wa elfu 5 na elfu 10 wenye magari wanakuja wakiwa na gubu tayari.
Wachache sana waelewa.
Majuzi niliweka mafuta ya 5,000.

Nilikuwa nakatiza mataa kwa kupitia sheli. Nadhani mnaelewa ule mchezo. Nikahisi kuna askari mbele, nikakaa kwenye pump nikampa jamaa 5000 aniwekee wese ili nisije nikakamatwa na afande, nionekane nimetokea sheli.
 
Wee Dada una maneno ni hatari, ngoja wanaoweka wese la elfu 3 waje.
Hahahah! Haya maneno mbwembwe tu nachangamsha genge japo yana ukweli.

Wateja wote wanapata equal treatment kwangu...halafu siku nilizobahatika kuuza, nikiuza huwa nafuatwa na wateja wenye hela ndogo kwa sababu ya huduma na muonekano wangu wa kiupole.
Naheshimu kila pesa.
Iwe tu mteja amenizingua basi na mimi namzingua.
 
Back
Top Bottom