Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Mkuu unapenda sana Nduki??? Hivi Crown Athlete ina speed ngapi maana jamaa katupita kama tumesimama na hatukumuona tena
Hata mimi ndivyo ninavyopita watu. Nikiwa nimeiva nikikukata napotea kwenye view yako ndani ya sekunde 10 na hunioni tena.

Ishu sio top speed yake bali ni speed differential kati yenu. Kama wewe uko 100 ukapitwa na mtu aliyeko 180 utajihisi kama hamna unalolifanya hapo barabarani.
 
Back
Top Bottom