Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kuna siku nilikua natoka dar kwenda bara. Nikapita mbezi kulikua na watu wengi saaana na gari ndogo nyingi Mida ya saa Saba mchanna.

Nika park wakanikimbilai vijana wanasema wana abiria wa Moro nikawambia nahitaji wa moja Kwa moja mpaka dom waksema hakuna hapo hao abiria wote ni wa Moro wanangoja abood zitoke Moro zije ziwabebe.

Wakati natafakari akatokea mbaba mmoja kavaa nguo za kimasai akaniuliza naenda wapi nikamjibu Dom, akauliza nauli ya Dom ngapi nikamtaji. Akasema yeye analipa nauli ya Dom lakini atashuka Moro na yupo na mwanae. Nikasema hamna shida.

Tuka Anza safari Yule Mzee WA kimasai alikaa seat ya mbele na mwanae nyuma. Nilianza kuona kero baada ya Mzee kuingiza mkono wake kwenye shuka lake na kukuna P***bu Kama vile yupo peke Ake chooni hivi ili bidi nizime AC tule upepo maana Hali ilibadilika. Mpaka tuna fika Moro Ile pesa yake ikabidi ninunue manukato.
[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba mzee wa kimasai kaharibu hali ya hewa kabisa
 
Wakuu nimesafiri salama kabisa. Nimefika Tanga Mida ya saa kumi na moja hivi. Kuanzia moro kwenda chalinze nilikuta msafara wa makamu wa rais, basi askari wakaturuhusu wenye magari madogo tutangulie. Magari makubwa yote yakazuiliwa na magari yote kutoka DSM kuelekea Morogoro yakazuiliwa. Basi tukajikuta barabarani tupo wenyewe tu na uelekeo ni mmoja na askari wanaelekeza kuwa tukimbie. Aisee nimekimbiza gari balaa, nimejikuta naenda hadi 170kph. Kuna mwamba ana Toyota crown athlete ametupita kama vile tumesimama. Na kuna jamaa ana raum nyekundu, aisee ameikomesha ile gari, alikuwa kama anapaa na vile tochi zote ziliondolewa
Dah hapo patamu kweli yani ningenyoosha sana 😅 hasa uwe na chuma yenye 260KPH ni kusepa tu!

Burudani ilioje yani ingekuwa nafanya mchezo waku weave tu nakimbia namkata mtu narudi site yangu 😅huwa nainjoy sana huo mchezo ni hatari lakini burudani!
 
Unakuta mtu anatoa elfu 5 huku amenyosha macho kwenye usukani..hataki hata kugeuka yaani.
Ukiweka mafuta ya ef 5 baada ya kumpa agizo mshika pampu lazma uchezee redio ya gari kidogo ili kupoteza maboya😅 na litre 2.10 yako hahahah haina kudai risiti.

Mara nyingi nikiwa naenda Park ndio nawekaga wese la buku 5 la kuendea sheli next day.
 
Ukiweka mafuta ya ef 5 baada ya kumpa agizo mshika pampu lazma uchezee redio ya gari kidogo ili kupoteza maboya😅 na litre 2.10 yako hahahah haina kudai risiti.

Mara nyingi nikiwa naenda Park ndio nawekaga wese la buku 5 la kuamkia sheli!
Sasa yule mteja alitoa elfu 10 ,kumbe ametamka awekewe ya elfu 5 wakati pump attendant ashaondoka kwenda kufungua gari....si akawekewa yote ya elfu 10!Alooo hapakutosha pale sheli😂😂😂😂😂😂😂.,akaanza kudai elfu 5 yake huku akitoa matusi yote.
Wanaume tafuteni hela jamani.
 
Sasa yule mteja alitoa elfu 10 ,kumbe ametamka awekewe ya elfu 5 wakati pump attendant ashaondoka kwenda kufungua gari....si akawekewa yote ya elfu 10!Alooo hapakutosha pale sheli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].,akaanza kudai elfu 5 yake huku akitoa matusi yote.
Wanaume tafuteni hela jamani.
Bajeti.
 
Sasa yule mteja alitoa elfu 10 ,kumbe ametamka awekewe ya elfu 5 wakati pump attendant ashaondoka kwenda kufungua gari....si akawekewa yote ya elfu 10!Alooo hapakutosha pale sheli😂😂😂😂😂😂😂.,akaanza kudai elfu 5 yake huku akitoa matusi yote.
Wanaume tafuteni hela jamani.
Kuna dem na stress zake aliwahi kuniwekea wese la 50 badala ya 30! Ilikula kwake straight away
 
Kuna dem na stress zake aliwahi kuniwekea wese la 50 badala ya 30! Ilikula kwake straight away
Hayo ni makosa ya kiufundi,atakuwa hakusikia vizuri...
Mwingine anasikia lakini anakosea pale kwenye kuandika.
Hapo hakuna namna ni aidha umuonee huruma ulipe au alipe yeye au mafuta yachujwe kwenye gari ambayo ni usumbufu sana kwa mteja.
 
Back
Top Bottom