Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,345
- 10,885
Pengine ndiyo maana hatuendelei hii nchi! We are soo unethical when it comes to money! Sasa hii inaenda hadi kwa viongozi wakubwa serikalini!Mtu gari ya kampuni anapewa 100,000 anaweka mafuta 60,000 anaomba risiti ya 100,000 anapeleka ofisini.