Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Watu wana madharau huko mabarabarani [emoji1787]
Palikuwa na mtu kapack ractis service road nyembamba ile anashuka kuna vanguard ikawa inaingia, sehemu ndogo ikabidi aingie kwa kujibana sana.
Driver wa vanguard karopoka “ wewe gari yenyewe mbaya na bado unaipack vibaya [emoji16]
Nimecheka kwa masikitiko [emoji16][emoji16]

Nb. Wenye ndinga kali na nzuri nzuri jamani msitunyanyapae wengine [emoji2088][emoji2088]
View attachment 2138595
Vanguard anamchekaje mwenye Ractis?
 
Watu wana madharau huko mabarabarani [emoji1787]
Palikuwa na mtu kapack ractis service road nyembamba ile anashuka kuna vanguard ikawa inaingia, sehemu ndogo ikabidi aingie kwa kujibana sana.
Driver wa vanguard karopoka “ wewe gari yenyewe mbaya na bado unaipack vibaya [emoji16]
Nimecheka kwa masikitiko [emoji16][emoji16]

Nb. Wenye ndinga kali na nzuri nzuri jamani msitunyanyapae wengine [emoji2088][emoji2088]
View attachment 2138595
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani uongo? Akati ni kweli lol
 
Watu wana madharau huko mabarabarani [emoji1787]
Palikuwa na mtu kapack ractis service road nyembamba ile anashuka kuna vanguard ikawa inaingia, sehemu ndogo ikabidi aingie kwa kujibana sana.
Driver wa vanguard karopoka “ wewe gari yenyewe mbaya na bado unaipack vibaya [emoji16]
Nimecheka kwa masikitiko [emoji16][emoji16]

Nb. Wenye ndinga kali na nzuri nzuri jamani msitunyanyapae wengine [emoji2088][emoji2088]
View attachment 2138595
Kesho na bet

Nikipata b 5.5

Nakununulia

Gari ya ndoto yako

Toto zuri uachwe kusimangwa

Pole lakini mwaisa
 
[emoji41]
IMG_20220304_115626.jpg
 
Back
Top Bottom