Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ShkamooWese la wiki hilo....kukaa nje ya mji na kuzunguka na cc2500 si mchezo!
Mimi mwenyewe huwa nawalipa tu vijana wabadilishe. Imagine ushajiandaa unaenda kazini halafu unapata pancha, utahangaika na kupiga jeki uloe mijasho?Hahaha, ndio maana mwalimu wetu wa driving school alituambia usidrive huku huna hela za akiba maana emergency kama hizi inabidi uwalipe wasaidizi
Hii mambo ndiyo mafundi maiko hawapendi wanakuambia umeme mwingi [emoji1787]Photocopier 😎
Bracket imekatika so imebidi kitolewe kiwe reinforced. Mbaya zaidi niko Tarime. Wanakishangaa tu imebidi nisimamie zoezi zima kwa ukaribuImekuwaje tena?
Sijaona gari yenye speedmeter ya 180kph siku nyingi kweli.Sijui kama nitatoboa hata hio wiki [emoji41]
View attachment 2146928
Dah kwanza pole sanaBracket imekatika so imebidi kitolewe kiwe reinforced. Mbaya zaidi niko Tarime. Wanakishangaa tu imebidi nisimamie zoezi zima kwa ukaribu
Huduma mkuu [emoji1787][emoji1787] tulivyonavyo kichwani ni diliDah kwanza pole sana
Hivi nyie mnasambaza vitu gani mbona mnainjoy sana road zetu?
Mungu awalinde pia
Mnazifaidi barabara wakuu sio poaHuduma mkuu [emoji1787][emoji1787] tulivyonavyo kichwani ni dili
Mungu ni mwemaMnazifaidi barabara wakuu sio poa
Kabisa. Nikionaga watu wa IST na Crown walivyo na fujo mijini, uwa nasema hawa ndiyo wanaokula mizinga ya kijinga highway. Unakuta mtu yupo mjini ana-overtake kijingakijinga - yupo upande wako na ati anakuwashia taa! Uwa nawapisha, ila mtu wa namna hiyo highway lazima aingie chini ya kichanja kwa uendeshaji huo!Ukitoa uchovu, tabia zako za kila siku kwenye udereva zinakuathiri popote pale. Mtu anaeendesha hovyo hovyo mjini hata ukimkuta highway ana tabia hizo hizo ndio maana kuna ajali nyingi za kizembe.