RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
- Thread starter
- #15,701
Anaeleweka na ana bei nafuu ni Total tu ambayo ina range hapo 60k ila Castrol ni 90kWanyonge tutaishi nazo tu! Kuna mahali niliuliza juzi 5w 30 ni 60K...
Nilishangaa kweli😅 wakati kwa wazee wa Bonn na Frankfurt Liqui Molly oil ni bei ya battery ya Gari!😂