ozigizaga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 701
- 1,703
Hapo ni checkpoint Igawa mkuu, na mimi nikaona ninyooshe mgongo kidogoMbona mmesimama wote? Mmepigwa tochi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ni checkpoint Igawa mkuu, na mimi nikaona ninyooshe mgongo kidogoMbona mmesimama wote? Mmepigwa tochi?
Tafteni bei ya stock cars ndio mfanye comparison, sasa gari ambayo iko edited kwa soko flani utaichanganyaje na gari inayotoka stock market.Nimekuuliza swali niamini source yako ?
Unaleta mambo ya ulianganifu, wapi nimelinganisha au kufananisha madalali ?
Wapi nimesema gari za 2007 ni new model ..
Nimeweka hapo hiyo ni RR SVR Carbon Edition na bei yake anayo uza muuzaji. Simple Jamaa anuza gari na sio zote anachukulia Singapore.
Kairos LC300 ameuza ukipita utaona bei yake
Narudia LC300, haiwezi kuwa juu ya RR SVR Fiber edition.. Na kusema hivi sio nimeibeza LC300..i
Kuwa makini na huo moto 😂😂😂3gr kifuani, mtwara to mbeyaView attachment 2273406
Aisee hii Mark X ina paddle shifters, bonge moja la feature😂😂😂Mbinga - mbamba bayView attachment 2274575
Tafteni bei ya stock cars ndio mfanye comparison, sasa gari ambayo iko edited kwa soko flani utaichanganyaje na gari inayotoka stock market.
Tafta Range Rover tu ya kawaida linganisha kwa MRSP toka kwenye website zote ya JLR na ya Toyota.
Hapo tutapata a real comparison in price
kuna mtu alikuwa anauza 3GR shilingi 9.5 millions, sijui mafuta yamekabaKuwa makini na huo moto 😂😂😂
Hahahahha kulihudumia hilo dude kwa trip za sheli sio kitoto ila kwa speed sio kinyonge hapo roadkuna mtu alikuwa anauza 3GR shilingi 9.5 millions, sijui mafuta yamekaba
Kuna haja ya kutafta wakata kamba sasa, 😂😂😂 haiwezekani kifua kizito kama hicho kikabwe kwenye 180 dah ni noma yani.30sec imemaliza 180kph baada ya hapo hamna kipya kama bao la Kwanza kiherehere 😳😎😂😂😂
Nimeona kuna LC300 wame zi limit 180kmhKuna haja ya kutafta wakata kamba sasa, 😂😂😂 haiwezekani kifua kizito kama hicho kikabwe kwenye 180 dah ni noma yani.
Hivi bongo hamna wadau kweli???
Now thats a fair comparison
Nimeona kuna LC300 wame zi limit 180kmh
Niliziona beforward hizoYah kuna versions mwisho ni 180KPH ila zipo zile za 260KPH