Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unaongelea ya 2021 Leo nimepishana na autobiography suv 2022 hapa gold star nimeshindwa hata kuichukua picha ssbabu ilikuwa fasta ikiwa na escort inaingia jniaTayari ila sio nyingi sana, binafsi nimebahatika kama nne tofauti tofauti kuzikuta ila Range Rover ya 2021 wala SVR ya 2021 mbadooo [emoji1][emoji1][emoji1]
Pesa inaongea mkuu..Mkuu unaongelea ya 2021 Leo nimepishana na autobiography suv 2022 hapa gold star nimeshindwa hata kuichukua picha ssbabu ilikuwa fasta ikiwa na escort inaingia jnia
Nimebaki tu kuiangalia mkuuPesa inaongea mkuu..
Pesa tamuWakuu leo nimepishana na huu msumari wa ubalozi pale gold star unasindikizwa na escort kuelekea JNIA nikabaki na utazama tu.View attachment 2281728View attachment 2281729
Kwa magari size ipi?Hivi diesel & petrol inayoletwa bongo ni Euro 4/5/6?
Duh hela haingopi kweliMkuu unaongelea ya 2021 Leo nimepishana na autobiography suv 2022 hapa gold star nimeshindwa hata kuichukua picha ssbabu ilikuwa fasta ikiwa na escort inaingia jnia
8O mph is fast si ni kama 129kph hivi mwendo mzuriJamaa wanakujengea motorway three to five lanes,gari kali halafu wanakuwekea limit 80mph! Sema ukijua barabara kuna maeneo hayana camera unajiachia tu ila ukikuta polisi wametega sehemu ban itakuhusu.
Ubalozini ni kawaida wanakuwaga na vyombo latest tu😀😀😀Wakuu leo nimepishana na huu msumari wa ubalozi pale gold star unasindikizwa na escort kuelekea JNIA nikabaki na utazama tu.View attachment 2281728View attachment 2281729
Raha ni kuwa unaweza futa 26O kphKuna raha Kweli ila ajali za kizembe sana yaani unakuta kila mwezi ajali za mabasi yanauwa watu kibao
Sheria hazifuatwi kabisa
Raha labda hali ya hewa na chakula ila usafiri hapana
Gari matairi yameisha kabisa traffic anakukamata unampa hela anakuachia na wewe unajiona mjanja kumbe unaenda kufa
Sorry labda nimekurupuka [emoji23] Hebu niambie hiyo raha
BMW calls for 15Omph everytime you floor it 😂😂😂 hapo ndipo tatizo linapoanziaNot so fast on a motorway driving BMW
Raha ni kuwa unaweza futa 26O kph
Back then M4 between junction 3-7 kulikuwa hakuna camera sijui sasa hivi, tulikuwa tunapiga sana 120-130mph. M23 kuelekea Brighton, M3 kuelekea Southampton kuna vipande havina camera usiku unajiachia tu, shida M40 na nyinginezo kuelekea NorthHahaha labda niende German kwenye Autobahn na Porsche
Back then M4 between junction 3-7 kulikuwa hakuna camera sijui sasa hivi, tulikuwa tunapiga sana 120-130mph. M23 kuelekea Brighton, M3 kuelekea Southampton kuna vipande havina camera usiku unajiachia tu, shida M40 na nyinginezo kuelekea North