Themann
JF-Expert Member
- Apr 15, 2022
- 3,842
- 16,058
Mashine gani mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashine gani mkuu
Ya RizimokoEti wakuu naskia hii school ya mzee WA msoga ni kweli?View attachment 2358343
Welldone mkuu, usalama wako comes first, picture's ni ziada kama uwezekano haupo acha tu mkuuNimekupata.
Sema nakuwa moto sana! Then peke yangu, so nashindwa kabisa kupiga picha, ila nitajitahidi! Extrovert upo bossi?
KumbeYa Rizimoko
[emoji16]Ya mchongo.
Sheria Tanzania hazifuatwiHalafu why ana overtake katika double barrier?huyu sio dereva ni punguani fulani
Kama unaenda na kurudi na gari yako sidhani kama kuna restriction ya mwaka wa gariHabari wakuu,hivi kuingia mji wa Kigali na gari binafsi mashariti Yao yakoje?mfano gari ya mwaka gani ndo wanaruhusu kuingia nayo ukiwa unaenda kutembea?
Ahsanteni.
Ni kweli mkuu, haijalishi mwaka wa gari and as usual make sure gari yako ipo mechanically superKama unaenda na kurudi na gari yako sidhani kama kuna restriction ya mwaka wa gari
Nimeshaingia Dar mkuu.Welldone mkuu, usalama wako comes first, picture's ni ziada kama uwezekano haupo acha tu mkuu
Sawa nashukuru mkuu.Kama unaenda na kurudi na gari yako sidhani kama kuna restriction ya mwaka wa gari
Haina shida mkuu kwenye Hilo huwa Niko makini Sana natunza Sana vyuma vyangu.Ni kweli mkuu, haijalishi mwaka wa gari and as usual make sure gari yako ipo mechanically super
Nimeshaingia Dar mkuu.
Hapa ni Foleni ya Al hasan Mwinyi
Kesho nitajitahidi kupiga nyingi huko njianiWelldone mkuu ashukuriwe Mwenyezi Mungu kwa kukulinda na umewasili salama
Ilikuwa mchana boss...Kwani wako hadi usiku?
Naona GX-R ishafanya ya msingiNimeshaingia Dar mkuu.
Hapa ni Foleni ya Al hasan Mwinyi