Sasa mkuu kupita haka kadaraja mnaviziana?au kuna stop &Go hapo?Watu KAZI WA night to night Niko Ruaha hapa kilombero sasa kuitafuta DSM via kilombero-mikumi then one way to joto city.View attachment 2367092
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu kupita haka kadaraja mnaviziana?au kuna stop &Go hapo?Watu KAZI WA night to night Niko Ruaha hapa kilombero sasa kuitafuta DSM via kilombero-mikumi then one way to joto city.View attachment 2367092
Ni kuviziana tu hapo.... hahahahahaSasa mkuu kupita haka kadaraja mnaviziana?au kuna stop &Go hapo?
Kuviziana mkuuu [emoji16]Sasa mkuu kupita haka kadaraja mnaviziana?au kuna stop &Go hapo?
Juzi kati saa tisa usiku nimegumiana nayo moja wameipiga T,,,, AVL rangi kakiRC ruvuma katisha
Huwa nachoka hiyo route 😊😊 nahisi ijumaa natakiwa hukoWatu KAZI WA night to night Niko Ruaha hapa kilombero sasa kuitafuta DSM via kilombero-mikumi then one way to joto city.View attachment 2367092
Ukisema mlikuwa ni nyie kuna shida gani dada yake 😊😊😊Daah umenikumbusha mchana nimepishana na ZX moja piruuu maeneo ya Africana
Zimeanza kuzagaa sana hizi kali, sijui zina punguzo la bei 🤣🤣🤣Mungu atusaidie! Si kwa namna hii!
Mimi Na Nani Sasa [emoji3][emoji3]Ukisema mlikuwa ni nyie kuna shida gani dada yake [emoji4][emoji4][emoji4]
Ma afisa maboss 😊😊😊😊
Itakuwa ya kazini kwao, saa tisa usiku alafu ipo mdogo mdogo hata mie mkimbia kwa miguu nilikuwa naweza kuigusa 😊😊😊Naipata hio.
Ata Mimi huwa nawaza Kwanzia Ruaha pale Hadi road mbovu na mang'ula adi ifakara kibaoni pabovu [emoji16] Hadi Leo mgongo haujapoaHuwa nachoka hiyo route [emoji4][emoji4] nahisi ijumaa natakiwa huko
Wanachukua vyombo alafu wanaweka namba AJuzi kati saa tisa usiku nimegumiana nayo moja wameipiga T,,,, AVL rangi kaki
.. Ila ndio hizo za kina Tozo tozo za watu binafsi nahisi chacheZimezagaa kwa akina nani? Zimezagaa zilizonunuliwa na TOZO.
Hiyo kama siyo ya mtu binafsi basi itakuwa ya mkuu wa jakata sema labda dereva wake ilivyofika mida ya wanga akaivika private numberJuzi kati saa tisa usiku nimegumiana nayo moja wameipiga T,,,, AVL rangi kaki