Wazee wa Simba kuanika majina ya Mawaziri waliohujumu Dabi ya Kariakoo

Wazee wa Simba kuanika majina ya Mawaziri waliohujumu Dabi ya Kariakoo

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kipigo cha bao 1-0 kwenye derby ya Kariakoo kimewaibua Wazee wa klabu ya Simba, ambao sasa wametoa siku saba kwa mawaziri ambao wanawashutuma kwa kile wanachodai kuwa ni hujuma dhidi ya klabu yao. Wazee hao wanadai kuwa baadhi ya viongozi wa Serikali, TFF, GSM na Yanga walihusika katika mpango wa kuihujumu Simba kwenye mchezo wa Oktoba 19 ambao umezua gumzo.

Kwa mujibu wa madai yao, kikao cha siri kilifanyika usiku wa manane, saa tisa, kikiwahusisha mawaziri sita pamoja na mwamuzi wa mchezo huo, Ramadhan Kayoko. Wazee wa Simba wanasema kuwa lengo la kikao hicho lilikuwa kuhakikisha timu ya Wananchi, Yanga, inashinda mechi hiyo kwa kuwa ni timu inayoungwa mkono na Serikali.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024


Katika hatua hiyo, Wazee wa Simba wamewataka mawaziri hao kutoa ufafanuzi ndani ya siku saba, wakisisitiza kuwa hujuma hizi zinaathiri ushindani wa haki katika soka la Tanzania.
 
Kipigo cha bao 1-0 kwenye derby ya Kariakoo kimewaibua Wazee wa klabu ya Simba, ambao sasa wametoa siku saba kwa mawaziri ambao wanawashutuma kwa kile wanachodai kuwa ni hujuma dhidi ya klabu yao. Wazee hao wanadai kuwa baadhi ya viongozi wa Serikali, TFF, GSM na Yanga walihusika katika mpango wa kuihujumu Simba kwenye mchezo wa Oktoba 19 ambao umezua gumzo.

Kwa mujibu wa madai yao, kikao cha siri kilifanyika usiku wa manane, saa tisa, kikiwahusisha mawaziri sita pamoja na mwamuzi wa mchezo huo, Ramadhan Kayoko. Wazee wa Simba wanasema kuwa lengo la kikao hicho lilikuwa kuhakikisha timu ya Wananchi, Yanga, inashinda mechi hiyo kwa kuwa ni timu inayoungwa mkono na Serikali.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

Katika hatua hiyo, Wazee wa Simba wamewataka mawaziri hao kutoa ufafanuzi ndani ya siku saba, wakisisitiza kuwa hujuma hizi zinaathiri ushindani wa haki katika soka la Tanzania.
Wazee hawa wameanza kuchanganyikiwa wamtafute mganga wao kawapiga changa la macho. hadi kufikia hatua hii haaaaa :3Heading: 🙂
 
Kipigo cha bao 1-0 kwenye derby ya Kariakoo kimewaibua Wazee wa klabu ya Simba, ambao sasa wametoa siku saba kwa mawaziri ambao wanawashutuma kwa kile wanachodai kuwa ni hujuma dhidi ya klabu yao. Wazee hao wanadai kuwa baadhi ya viongozi wa Serikali, TFF, GSM na Yanga walihusika katika mpango wa kuihujumu Simba kwenye mchezo wa Oktoba 19 ambao umezua gumzo.

Kwa mujibu wa madai yao, kikao cha siri kilifanyika usiku wa manane, saa tisa, kikiwahusisha mawaziri sita pamoja na mwamuzi wa mchezo huo, Ramadhan Kayoko. Wazee wa Simba wanasema kuwa lengo la kikao hicho lilikuwa kuhakikisha timu ya Wananchi, Yanga, inashinda mechi hiyo kwa kuwa ni timu inayoungwa mkono na Serikali.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

Katika hatua hiyo, Wazee wa Simba wamewataka mawaziri hao kutoa ufafanuzi ndani ya siku saba, wakisisitiza kuwa hujuma hizi zinaathiri ushindani wa haki katika soka la Tanzania.
Simba acheni hiyo mambo,timu mnaizika kwa mikono na miguu yenu wenyewe.
 
Back
Top Bottom