Wazee wa Simba kuanika majina ya Mawaziri waliohujumu Dabi ya Kariakoo

Wazee wa Simba kuanika majina ya Mawaziri waliohujumu Dabi ya Kariakoo

Nimewaelewa wazee kwa hoja nne
1.Sio sawa kwa GSM kudhamini vilabu vinne kwani wakiambiwa lolote sio rahisi kubisha,hapa kuna harufu ya rushwa.
2.Siasa na wanasiasa wameingilia mpira wa Tanzania, hasa kitendo cha mwanasiasa mmoja kununua Ihefu ambayo imemfunga yanga mara mbili mfululizo hapa kuna jambo chini ya kapeti.
3.Kauli za wasemaji na wanasiasa kabla ya mechi zinaleta tafakuri juu ya upangaji wa matokeo.
 
Kipigo cha bao 1-0 kwenye derby ya Kariakoo kimewaibua Wazee wa klabu ya Simba, ambao sasa wametoa siku saba kwa mawaziri ambao wanawashutuma kwa kile wanachodai kuwa ni hujuma dhidi ya klabu yao. Wazee hao wanadai kuwa baadhi ya viongozi wa Serikali, TFF, GSM na Yanga walihusika katika mpango wa kuihujumu Simba kwenye mchezo wa Oktoba 19 ambao umezua gumzo.

Kwa mujibu wa madai yao, kikao cha siri kilifanyika usiku wa manane, saa tisa, kikiwahusisha mawaziri sita pamoja na mwamuzi wa mchezo huo, Ramadhan Kayoko. Wazee wa Simba wanasema kuwa lengo la kikao hicho lilikuwa kuhakikisha timu ya Wananchi, Yanga, inashinda mechi hiyo kwa kuwa ni timu inayoungwa mkono na Serikali.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

Katika hatua hiyo, Wazee wa Simba wamewataka mawaziri hao kutoa ufafanuzi ndani ya siku saba, wakisisitiza kuwa hujuma hizi zinaathiri ushindani wa haki katika soka la Tanzania.
walete ushahidi
 
Kipigo cha bao 1-0 kwenye derby ya Kariakoo kimewaibua Wazee wa klabu ya Simba, ambao sasa wametoa siku saba kwa mawaziri ambao wanawashutuma kwa kile wanachodai kuwa ni hujuma dhidi ya klabu yao. Wazee hao wanadai kuwa baadhi ya viongozi wa Serikali, TFF, GSM na Yanga walihusika katika mpango wa kuihujumu Simba kwenye mchezo wa Oktoba 19 ambao umezua gumzo.

Kwa mujibu wa madai yao, kikao cha siri kilifanyika usiku wa manane, saa tisa, kikiwahusisha mawaziri sita pamoja na mwamuzi wa mchezo huo, Ramadhan Kayoko. Wazee wa Simba wanasema kuwa lengo la kikao hicho lilikuwa kuhakikisha timu ya Wananchi, Yanga, inashinda mechi hiyo kwa kuwa ni timu inayoungwa mkono na Serikali.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

Katika hatua hiyo, Wazee wa Simba wamewataka mawaziri hao kutoa ufafanuzi ndani ya siku saba, wakisisitiza kuwa hujuma hizi zinaathiri ushindani wa haki katika soka la Tanzania.
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 hahaaaaaaaaaaaa Thiiimbaaaa 5imba Guvu Moya janja2 sana.
 
Nimewaelewa wazee kwa hoja nne
1.Sio sawa kwa GSM kudhamini vilabu vinne kwani wakiambiwa lolote sio rahisi kubisha,hapa kuna harufu ya rushwa.
2.Siasa na wanasiasa wameingilia mpira wa Tanzania, hasa kitendo cha mwanasiasa mmoja kununua Ihefu ambayo imemfunga yanga mara mbili mfululizo hapa kuna jambo chini ya kapeti.
3.Kauli za wasemaji na wanasiasa kabla ya mechi zinaleta tafakuri juu ya upangaji wa matokeo.
Wee nae ukizeeka utakuwa mzee wa hovyo
 
Back
Top Bottom