Ahead
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 2,292
- 2,566
Nimewaelewa wazee kwa hoja nne
1.Sio sawa kwa GSM kudhamini vilabu vinne kwani wakiambiwa lolote sio rahisi kubisha,hapa kuna harufu ya rushwa.
2.Siasa na wanasiasa wameingilia mpira wa Tanzania, hasa kitendo cha mwanasiasa mmoja kununua Ihefu ambayo imemfunga yanga mara mbili mfululizo hapa kuna jambo chini ya kapeti.
3.Kauli za wasemaji na wanasiasa kabla ya mechi zinaleta tafakuri juu ya upangaji wa matokeo.
1.Sio sawa kwa GSM kudhamini vilabu vinne kwani wakiambiwa lolote sio rahisi kubisha,hapa kuna harufu ya rushwa.
2.Siasa na wanasiasa wameingilia mpira wa Tanzania, hasa kitendo cha mwanasiasa mmoja kununua Ihefu ambayo imemfunga yanga mara mbili mfululizo hapa kuna jambo chini ya kapeti.
3.Kauli za wasemaji na wanasiasa kabla ya mechi zinaleta tafakuri juu ya upangaji wa matokeo.