Acha ujinga wewe siyo Simba ni utopolo. Na una mambo hayo hayo tu. Sasa inakusaidia nini? Au ili upate tu likes? Hiyo post yako hapo chini umeandika kiuto.
“Yanga yeye hasajili, wenu ni vijana yanga wazee
Aziz ki
Pacome
Yao
Boka
Job
Bacca
Mudathir
Nzegeli
Dube
Mzize
Musonda
Baleke
Hao ni wazee au ndio mnajipa matumaini.
Mpira ni SAYANSI huwa haudanganyi
Yanga nao wanaganyia kazi mapungufu yao na msimu ujao Aucho analetewa mbadala
Yaan ukijenga kwako Simba, yanga nae anajenga kwake.
Binafsi nyie Bado sana njia ya yanga kushuka labda auze wachezaji watano muhimu kama bacca, diara, Aziz ki, pacome, Yao kwasi, na mzize nje ya hapo Bado mtatafutana kupata quality squand kama iliyopo yanga.”