Wazee wa Simba kuanika majina ya Mawaziri waliohujumu Dabi ya Kariakoo

Wazee wa Simba kuanika majina ya Mawaziri waliohujumu Dabi ya Kariakoo

Wakati wadau wanalalamika wakati Simba Ina nufaika na makosa ya kibinadamu katika mechi za Azam na Dodoma JiJi, Kiongozi wa Simba Ahmed Ally alishauri malalamiko yote juu ya waamuzi yapelekwe Tff kwakua Kuna Sanduku la maoni.

Kuliko kusumbua watu ni Bora ushauri uo wa watu wa Simba wange Anza ku utekeleza kwanza wao wenyewe kuliko kutoa matamko ya kutafuta huruma kwa Jamii.
 
Hivi ndiyo kusema simba haistahili kufungwa na Yanga! Au ndiyo kusema mpaka ligi ina tamatika, haitafungwa tena timu nyingine yoyote ile kwenye ligi yetu?

Na ikitokea ikafungwa tena, lawama kwa wakati huo zitaelekezwa kwa nani?
 
Kipigo cha bao 1-0 kwenye derby ya Kariakoo kimewaibua Wazee wa klabu ya Simba, ambao sasa wametoa siku saba kwa mawaziri ambao wanawashutuma kwa kile wanachodai kuwa ni hujuma dhidi ya klabu yao. Wazee hao wanadai kuwa baadhi ya viongozi wa Serikali, TFF, GSM na Yanga walihusika katika mpango wa kuihujumu Simba kwenye mchezo wa Oktoba 19 ambao umezua gumzo.

Kwa mujibu wa madai yao, kikao cha siri kilifanyika usiku wa manane, saa tisa, kikiwahusisha mawaziri sita pamoja na mwamuzi wa mchezo huo, Ramadhan Kayoko. Wazee wa Simba wanasema kuwa lengo la kikao hicho lilikuwa kuhakikisha timu ya Wananchi, Yanga, inashinda mechi hiyo kwa kuwa ni timu inayoungwa mkono na Serikali.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

Katika hatua hiyo, Wazee wa Simba wamewataka mawaziri hao kutoa ufafanuzi ndani ya siku saba, wakisisitiza kuwa hujuma hizi zinaathiri ushindani wa haki katika soka la Tanzania.
 
Sisi washabiki wa Simba lialia na tunaojua mpira tumekubali matokeo na tunajipanga kwa mechi zijazo. Hao Wazee wa Simba walioongea leo ni WAJINGA NA WAPUMBAVU wasiojia mpira. Kama wangelikuwa wakweli wangeliwataja hapo hapo hao walioijumu Simba. Wanatoa siku saba kama maandamano ya Chadema? KUMBAVU!!!!
 
Back
Top Bottom