Wazee wa Simba wagundua mbinu zilizo wahujumu mechi ya derby

Wazee wa Simba wagundua mbinu zilizo wahujumu mechi ya derby

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Wazee wa Simba wameitisha mkutano na waandishi wa habari na kulaani mambo mengi yaliyotokana na kipigo kutoka yanga.

1. TFF wanapokea maagizo kutoka Kwa mawaziri wakiongozwa na Mwigulu kuhakikisha Yanga wanafaulu Simba wanafeli.

2. Philip Mpango alisema SIKU YA YANGA DAY KUWA YANGA ATAKUWA BINGWA , HIVYO WAO wazee wa Simba wanaona hapo ni serikali kuingilia TFF Ili ihakikishe yanga Bingwa.

3. Wazee wa Simba wameenda mbali na kumlalamikia Karia kuwa wao wamemsaidia kuingia madarakani lakini hawasaidii na anachofanya ni kuwahujumu.

4. Wazee wa Simba wamesema siku ya Leo walitaka kuitisha maandano , ili kupinga wao kufungwa na Yanga.

5. Wazee wa Simba wamesema Yanga wanajitapa kuwa ninl timu ya Wananchi, timu ya Serikali, na inasapotiwa na serikali, Hali inayopelekea wao kuonewa.

6. Wazee wa Simba wameenda mbali na kuhoji Je Mwigulu anapata wapi pesa za kiendesha timu, au ni hizi tozo zetu.

Kiufupi ni kuwa Simba wamechanganyikiwa na kufungwa na Yanga, Sasa wanataka kuhusisha kila kitu na Siasa na Serikali, Mimi nawashauri wasiingize serikali kwenye migogoro yao ya kipa na beki kujifunga
 
Kama ni kweli wamesema hivyo hiyo team ina matatizo sana na itapata tabu sana, hivi kweli unaenda kusajili awesu ambaye hata singida hapati namba, unasajili, kijili, kibu bado kwako ndio tegemeo afu uje ulaumu serikali sijui kwa nini mashabiki wa hii team mtazamo wao ni mdogo sana, Mo kanufaika sana na hii team kauza Mo Extra nchi nzima kupitia hii lakini hili hawalioni wamwambie aongeze pesa wasajili wachezaji bora, bado wanahangaika na mpira wa vijiweni sawa awamu hii watakuwa nafasi ya nne.
 
Wazee wa Simba wameitisha makutano na waandishi wa habari huku wakilaani mambo mengi yaliyotokana na kipigo kutoka yanga.

1. TFF wanapokea maagizi kutoka Kwa mawaziri wakiongozwa na Mwigulu kuhakikisha Yanga wanafaulu Simba wanafeli.

2. Philip Mpango alisema SIKU YA YANGA DAY KUWA YANGA ATAKUWA BINGWA , HIVYO WAO wazee wa Simba wanaona hapo ni serikali kuingilia TFF Ili ihakikishe yanga Bingwa.

3. Wazee wa Simba wameenda mbali na kumlalamikia Karia kuwa wao wamemsaidia kuingia madarakani lakini hawasaidii na anachofanya ni kuwahujumu.

4. Wazee wa Simba wamesema siku ya Leo walitaka kuitisha maandano , ili kupinga wao kufungwa na Yanga.

5. Wazee wa Simba wamesema Yanga wanajitapa kuwa ninl timu ya Wananchi, timu ya Serikali, na inasapotiwa na serikali, Hali inayopelekea wao kuonewa.

6. Wazee wa Simba wameenda mbali na kuhoji Je Mwigulu anapata wapi pesa za kiendesha timu, au ni hizi tozo zetu.

Kiufupi ni kuwa Simba wamechanganyikiwa na kufungwa na Yanga, Sasa wanataka kuhusisha kila kitu na Siasa na Serikali, Mimi nawashauri wasiingize serikali kwenye migogoro yao ya kipa na beki kujifunga

View attachment 3131711
Hilo liko wazi na wala alihitaji D mbili kulibaini.
 
Kama ni kweli wamesema hivyo hiyo team ina matatizo sana na itapata tabu sana, hivi kweli unaenda kusajili awesu ambaye hata singida hapati namba, unasajili, kijili, kibu bado kwako ndio tegemeo afu uje ulaumu serikali sijui kwa nini mashabiki wa hii team mtazamo wao ni mdogo sana, Mo kanufaika sana na hii team kauza Mo Extra nchi nzima kupitia hii lakini hili hawalioni wamwambie aongeze pesa wasajili wachezaji bora, bado wanahangaika na mpira wa vijiweni sawa awamu hii watakuwa nafasi ya nne.

View: https://www.youtube.com/live/K-O8lH7gHWU?si=Dqcr_D1IyMokJaqV

Please go and take ur time to listen
 
Haya mambo Yanga naona wanajitahidi kuachana nayo japo hawajafika wanapotaka ila wako kwenye njia sahihi.

Kama yeyote yule anaweza kuitisha press officialy na akaongea kwa niaba ya klabu ni tatizo kubwa sana.

Tulizoea miaka ile ya kina Ndolanga na Dalali ila kipindi hiki kuja na tuhuma kama hizi hadharani unachangia kwa kiasi kikubwa kutengeneza migogoro na taasisi nyingine.
 
“Sisi wazee tumegundua kuwa kuna kiongozi mmoja mwandamizi wa TFF mke wake anafanya kazi GSM hivyo hawezi akatoa kauli kwa GSM.

“Kuna kuongozi ambaye ni mtendaji bodi ya Ligi mwenye majukumu ya kupanga marefa naye anakampuni ya kufagia iko ndani ya GSM,”-

Mmoja kati ya Wazee wa Simba Sc, akihoji uhalali wa GSM kudhamini vilabu nane vya Ligi Kuu ya NBC kwenye mkutano wa Wazee wa Simba na Wanahabari uliofanyika leo, Oktoba 21 jijini Dar es Salaam.

[emoji1607] @bintiiringo
#WasafiSports
1729521943983.jpg
 
Kipindi Simba inafanya vyema, inapewa shutuma za kumwaga dawa chumbani, kuhonga timu pinzani n.k si TFF ilikuwa chini ya Karia huyuhuyu?

Juzi mechi yao na Coastal Union refa akamaliza mechi kipindi ambacho Coastal Union wanakaribia box la Simba si TFF ilikuwa chini ya Karia huyuhuyu?
 
Back
Top Bottom