Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Sababu za kijinga kabisa kutoka kwa wazee wangu wa Simba. Leo TFF kumpanga yule mwamuzi inakuwaje ni hujuma wakati sote tunajua yule mwamuzi ni pro simba siku zote na mechi nyingi tu alishawahi kutubeba?
Mechi dhidi ya Azam, simba tulishinda magoli mawili ambayo yote yalikuwa offside, vipi TFF hawakuhusika kutubeba?
Mechi dhidi ya Dodoma Jiji, Simba tulishinda goli moja la mchongo sana baada ya kupewa penati ya uongo, TFF walikuwa wapi?
Mechi dhidi ya Coastal, Simba tulitoa sare ya kubebwa wazi wazi, vipi TFF ilikuwa ni nyingine?
Mechi dhidi ya Azam, simba tulishinda magoli mawili ambayo yote yalikuwa offside, vipi TFF hawakuhusika kutubeba?
Mechi dhidi ya Dodoma Jiji, Simba tulishinda goli moja la mchongo sana baada ya kupewa penati ya uongo, TFF walikuwa wapi?
Mechi dhidi ya Coastal, Simba tulitoa sare ya kubebwa wazi wazi, vipi TFF ilikuwa ni nyingine?