Wazee wa Simba wagundua mbinu zilizo wahujumu mechi ya derby

Wazee wa Simba wagundua mbinu zilizo wahujumu mechi ya derby

Sisi tujenge timu, kuna namna tukiwakanda hata refa hawezi fanya lolote maana mpira upo live.
 
Wazee wa Simba wameitisha mkutano na waandishi wa habari na kulaani mambo mengi yaliyotokana na kipigo kutoka yanga.

1. TFF wanapokea maagizo kutoka Kwa mawaziri wakiongozwa na Mwigulu kuhakikisha Yanga wanafaulu Simba wanafeli.

2. Philip Mpango alisema SIKU YA YANGA DAY KUWA YANGA ATAKUWA BINGWA , HIVYO WAO wazee wa Simba wanaona hapo ni serikali kuingilia TFF Ili ihakikishe yanga Bingwa.

3. Wazee wa Simba wameenda mbali na kumlalamikia Karia kuwa wao wamemsaidia kuingia madarakani lakini hawasaidii na anachofanya ni kuwahujumu.

4. Wazee wa Simba wamesema siku ya Leo walitaka kuitisha maandano , ili kupinga wao kufungwa na Yanga.

5. Wazee wa Simba wamesema Yanga wanajitapa kuwa ninl timu ya Wananchi, timu ya Serikali, na inasapotiwa na serikali, Hali inayopelekea wao kuonewa.

6. Wazee wa Simba wameenda mbali na kuhoji Je Mwigulu anapata wapi pesa za kiendesha timu, au ni hizi tozo zetu.

Kiufupi ni kuwa Simba wamechanganyikiwa na kufungwa na Yanga, Sasa wanataka kuhusisha kila kitu na Siasa na Serikali, Mimi nawashauri wasiingize serikali kwenye migogoro yao ya kipa na beki kujifunga
TFF ndiyo walipokea maelekezo ya mawaziri na kumuagiza Kayoko amuachia yule Ateba wenu aliyekuwa offside aende kufunga? TFF ndiyo baadaye wakaahirisha na kumuagizo Ateba asimfunge Diarra?
Vipi kuhusu faulo za Yanga, upuuzi wa Kagoma kuparamia wachezaji wenzake hata walipokuwa hawana mpira?

Mbona mechi za Azam na Dodoma Jiji hamziongelei? Na zenyewe mawaziri waliagiza Simba wabwebwe?

Jiandaeni kisaiolojia huko Mbeya, mnaenda kudodosha points.
Kelele zote hizi ni mbinu yenu ya kuucheza mpira nje ya uwanja
 
Ni ujinga uliopitiliza kulazimisha Yanga kushinda kila mara.

Ligi inaonekana ya kijinga na nchi nzima tunaonekana hatuna akili.
Nani kalazimisha mkuu. Hahahaha. Hii nchi hii.
 
TFF ndiyo walipokea maelekezo ya mawaziri na kumuagiza Kayoko amuachia yule Ateba wenu aliyekuwa offside aende kufunga? TFF ndiyo baadaye wakaahirisha na kumuagizo Ateba asimfunge Diarra?
Vipi kuhusu faulo za Yanga, upuuzi wa Kagoma kuparamia wachezaji wenzake hata walipokuwa hawana mpira?

Mbona mechi za Azam na Dodoma Jiji hamziongelei? Na zenyewe mawaziri waliagiza Simba wabwebwe?

Jiandaeni kisaiolojia huko Mbeya, mnaenda kudodosha points.
Kelele zote hizi ni mbinu yenu ya kuucheza mpira nje ya uwanja
Punguza povu mkuu, hao ni wazee umri nao umeenda. Ni juzi tu kuna mzee wenu alikuwa famous.
download (16).jpeg
 
Mbumbumbu nani aliwaroga
Yaani hii Yanga iliyoipiga Kaizer chiefs goli 4

Ikawapiga Azam 4
Ikatoa sare 2 na mamelod

Ishindwe kuifunga Simba inayojitafuta

Mbumbumbu kaeni na viongozi na wadhamin wenu watengeze timu

Yaani pale Simba wachezaji wenye nafuu ni Ateba na Kibu basi
 
Mimi Abuu Kauthar wa hapa Holili, nashauri TFF fungia hao wazee wa makolo, enyi wazee wa makolo mtatafuta mchawi hadi lini. Kaeni chini muyamalize migogoro si mizuri
Kati ya mambo wamekosea sana ni kumtaja makamu wa rais kwa ubaya.
Cheo Cha makamu wa rais ni cheo kikubwa sana kwahiyo hata akikosea siyo busara kutaja makosa hayo hadharani.
HIVI KUNA MTU ANATARAJIA KWAMBA MAKAMU WA RAIS ATAOMBA MSAMAHA ETI KISA KASEMA YANGA NI MABINGWA?! ،Hawa jamaa ni wazee lakini hawana busara Wala hekima Wala busara za kumaliza migogoro.
Ninachokiona ni kwamba hata kama Hawa wazee ni wanachama wa klabu ya Simba lakini sio wasemaji wa timu ya Simba. HILI NI GENGE LA WAZEE WENYE HASIRA NDANI YA KLABU YA SIMBA NA SIAMINI KUWA MANENO WALIYOYATOA NDIO MSIMAMO WA WAZEE WA SIMBA. Ukiangalia hata walivyomaliza mkutano utagundua kwamba hawakuwa wamepanga mzungumzaji wa mwisho atakae hitimisha mkutano wao ni nani!.
 
hiyo namba 5 nimecheka sana...wakati yanga wanajiita wananchi wao si walijiita wenye nchi sasa walizubaa wapi wananchi kuishinda serikali amabyo ni guvu moya?nyie wazee kaeni nyumbani mlee wajukuu mpira ni burudani ya vijana
HAO NI WAZEE WENYE HASIRA KALI.
 
Hawa wazee shule hamna. Wameidhalilisha sana hiyo timu yao kwa kubwabwaja bila facts na logic
2. Wanatishia kuharibu uwanja wa Taifa. Serikali iwamulike hawa na kuwachukulia hatua
3. Haileweki hoja ya msingi ni ipi. Mara kayoko, GSM, udhamini vilabu nane, Mwigulu Nchemba, Tozo, Ccm na ujinga mwingine mwingi.
JE HUU NDIO MSIMAMO WA SIMBA KAMA TAASISI??
Mimi hata siamini kama maneno yao ndio msimamo wa viongozi wa wazee wa SIMBA. naona hiki ni KIKUNDI CHA WAZEE WENYE HASIRA NDANI YA KLABU YA SIMBA. Kama Hawa ndio viongozi na wasemaji wa wazee wa simba basi kada hii ina wasemaji wa hovyo kwelikweli.
 
Tabia zote walizonazo Mashabiki wa Simba wamerithi Kwa Hawa Wazee.,.!

Wakati Simba akiwa kwenye Ubora wake, Mashabiki wa Yanga na mimi nikiwemo tulikua tunakubari kwamba Simba Kwa Sasa Wana Kikosi Bora..!

Na sisi tulikua tunaamini utafika wakati tukipata Mdhamini tutakua na Team Bora, Mungu si Mangungu GSM kaja, kabadirisha kila kitu, Leo Simba hawataki kukubari kuwa Yanga we ana Team Bora Kwa Sasa,....!

Tutachukua Ubingwa Mfululizo miaka 10.
Tutawafunga Mfululizo mpaka Mkuubari kuwa Yanga wametuzidi.
mzimu wao upo KIBITI ndio unawatuma mashabiki WANG'OE VITI.
 

Attachments

  • MAGAMBO_MACHIMU_-_YANGA__OFFICIAL_AUDIO_(360p).mp4
    11.5 MB
Wazee wa Simba wameitisha mkutano na waandishi wa habari na kulaani mambo mengi yaliyotokana na kipigo kutoka yanga.

1. TFF wanapokea maagizo kutoka Kwa mawaziri wakiongozwa na Mwigulu kuhakikisha Yanga wanafaulu Simba wanafeli.

2. Philip Mpango alisema SIKU YA YANGA DAY KUWA YANGA ATAKUWA BINGWA , HIVYO WAO wazee wa Simba wanaona hapo ni serikali kuingilia TFF Ili ihakikishe yanga Bingwa.

3. Wazee wa Simba wameenda mbali na kumlalamikia Karia kuwa wao wamemsaidia kuingia madarakani lakini hawasaidii na anachofanya ni kuwahujumu.

4. Wazee wa Simba wamesema siku ya Leo walitaka kuitisha maandano , ili kupinga wao kufungwa na Yanga.

5. Wazee wa Simba wamesema Yanga wanajitapa kuwa ninl timu ya Wananchi, timu ya Serikali, na inasapotiwa na serikali, Hali inayopelekea wao kuonewa.

6. Wazee wa Simba wameenda mbali na kuhoji Je Mwigulu anapata wapi pesa za kiendesha timu, au ni hizi tozo zetu.

Kiufupi ni kuwa Simba wamechanganyikiwa na kufungwa na Yanga, Sasa wanataka kuhusisha kila kitu na Siasa na Serikali, Mimi nawashauri wasiingize serikali kwenye migogoro yao ya kipa na beki kujifunga
Duu Kumbe ni kweli kwamba tatizo la simba ni wanachama wenyewe kama wapo
 
Sisi ndio furaha yetu tukiona mnapiga kelele, mwaka huu mpaka.maji mtaita mma kolo Fc
Tena hizo sababu hazitoshi mimi naweza kuwaongezea 3 zenye mashiko, japo zakwao sijazisoma kwasababu najua hazina mashiko

1. Lawama ziende kwa meneja wa uwanja wa mkapa kushindwa kupunguza maji
baada ya mvua kunyesha, miundombinu mibovu ya uwanja, tujikumbushe ndiyo wametoka kuukarabati, labda bado wanaendelea kama uko tayari basi kuna matumizi mabaya ya kodi za wananchi.

2. Lawama ziende kwa TFF kupanga Derby siku chache baada ya michuano ya kimataifa kuna hasara za pande 2 wachezaji wanashindwa kujituma timu ya taifa ipasavyo kuogopa kuumia kabla ya derby, pia wanakuwa hawana nguvu kutokana na wengine kufika siku ya derby, (Lack of drive and energy for National teams players)

3. Lawama kwa TFF, Kumuweka refa ambaye hujulikana maamuzi yake ni ya kubalansi timu,(kubalansi makosa), Hii ndiyo Kwanza nimeisikia kwa wadau wa mpira na nikathibitisha nilipo uangalia mchezo huo

Hitimisho Matumizi ya VAR na mafunzo mahususi yanahitajika

Kubalansi timu=to balance foul play, Yaani kubalansi timu ni makosa ya timu A yanafutwa kwa makosa ya timu B, Hii tuite kayoko style

Angalizo TFF hawayafanyii kazi malalamiko mbalimbali kuhusu marefa kwa wakati, madhara yake makosa yaleyale yanajirudia na ndiyo maana lawama zinaenda kwa TFF
 
Wazee wa Simba wameitisha mkutano na waandishi wa habari na kulaani mambo mengi yaliyotokana na kipigo kutoka yanga.

1. TFF wanapokea maagizo kutoka Kwa mawaziri wakiongozwa na Mwigulu kuhakikisha Yanga wanafaulu Simba wanafeli.

2. Philip Mpango alisema SIKU YA YANGA DAY KUWA YANGA ATAKUWA BINGWA , HIVYO WAO wazee wa Simba wanaona hapo ni serikali kuingilia TFF Ili ihakikishe yanga Bingwa.

3. Wazee wa Simba wameenda mbali na kumlalamikia Karia kuwa wao wamemsaidia kuingia madarakani lakini hawasaidii na anachofanya ni kuwahujumu.

4. Wazee wa Simba wamesema siku ya Leo walitaka kuitisha maandano , ili kupinga wao kufungwa na Yanga.

5. Wazee wa Simba wamesema Yanga wanajitapa kuwa ninl timu ya Wananchi, timu ya Serikali, na inasapotiwa na serikali, Hali inayopelekea wao kuonewa.

6. Wazee wa Simba wameenda mbali na kuhoji Je Mwigulu anapata wapi pesa za kiendesha timu, au ni hizi tozo zetu.

Kiufupi ni kuwa Simba wamechanganyikiwa na kufungwa na Yanga, Sasa wanataka kuhusisha kila kitu na Siasa na Serikali, Mimi nawashauri wasiingize serikali kwenye migogoro yao ya kipa na beki kujifunga
Namba sita ni hoja muhimu Ila kwa kuendekeza ushabiki mnapita kimyakimya.
 
Kama ni kweli wamesema hivyo hiyo team ina matatizo sana na itapata tabu sana, hivi kweli unaenda kusajili awesu ambaye hata singida hapati namba, unasajili, kijili, kibu bado kwako ndio tegemeo afu uje ulaumu serikali sijui kwa nini mashabiki wa hii team mtazamo wao ni mdogo sana, Mo kanufaika sana na hii team kauza Mo Extra nchi nzima kupitia hii lakini hili hawalioni wamwambie aongeze pesa wasajili wachezaji bora, bado wanahangaika na mpira wa vijiweni sawa awamu hii watakuwa nafasi ya nne.
Aaahaaa dah
 
Back
Top Bottom