Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Ujinga mtupu.Wazee wa Simba wameitisha mkutano na waandishi wa habari na kulaani mambo mengi yaliyotokana na kipigo kutoka yanga.
1. TFF wanapokea maagizo kutoka Kwa mawaziri wakiongozwa na Mwigulu kuhakikisha Yanga wanafaulu Simba wanafeli.
2. Philip Mpango alisema SIKU YA YANGA DAY KUWA YANGA ATAKUWA BINGWA , HIVYO WAO wazee wa Simba wanaona hapo ni serikali kuingilia TFF Ili ihakikishe yanga Bingwa.
3. Wazee wa Simba wameenda mbali na kumlalamikia Karia kuwa wao wamemsaidia kuingia madarakani lakini hawasaidii na anachofanya ni kuwahujumu.
4. Wazee wa Simba wamesema siku ya Leo walitaka kuitisha maandano , ili kupinga wao kufungwa na Yanga.
5. Wazee wa Simba wamesema Yanga wanajitapa kuwa ninl timu ya Wananchi, timu ya Serikali, na inasapotiwa na serikali, Hali inayopelekea wao kuonewa.
6. Wazee wa Simba wameenda mbali na kuhoji Je Mwigulu anapata wapi pesa za kiendesha timu, au ni hizi tozo zetu.
Kiufupi ni kuwa Simba wamechanganyikiwa na kufungwa na Yanga, Sasa wanataka kuhusisha kila kitu na Siasa na Serikali, Mimi nawashauri wasiingize serikali kwenye migogoro yao ya kipa na beki kujifunga
Ukiachana na ushabiki.... Endapo hizo tuhuma zipo basi zinapaswa kushughulikiwa kwa akili na hekima.Hawa wazee shule hamna. Wameidhalilisha sana hiyo timu yao kwa kubwabwaja bila facts na logic
2. Wanatishia kuharibu uwanja wa Taifa. Serikali iwamulike hawa na kuwachukulia hatua
3. Haileweki hoja ya msingi ni ipi. Mara kayoko, GSM, udhamini vilabu nane, Mwigulu Nchemba, Tozo, Ccm na ujinga mwingine mwingi.
JE HUU NDIO MSIMAMO WA SIMBA KAMA TAASISI??
hiyo namba 5 nimecheka sana...wakati yanga wanajiita wananchi wao si walijiita wenye nchi sasa walizubaa wapi wananchi kuishinda serikali amabyo ni guvu moya?nyie wazee kaeni nyumbani mlee wajukuu mpira ni burudani ya vijanaWazee wa Simba wameitisha mkutano na waandishi wa habari na kulaani mambo mengi yaliyotokana na kipigo kutoka yanga.
1. TFF wanapokea maagizo kutoka Kwa mawaziri wakiongozwa na Mwigulu kuhakikisha Yanga wanafaulu Simba wanafeli.
2. Philip Mpango alisema SIKU YA YANGA DAY KUWA YANGA ATAKUWA BINGWA , HIVYO WAO wazee wa Simba wanaona hapo ni serikali kuingilia TFF Ili ihakikishe yanga Bingwa.
3. Wazee wa Simba wameenda mbali na kumlalamikia Karia kuwa wao wamemsaidia kuingia madarakani lakini hawasaidii na anachofanya ni kuwahujumu.
4. Wazee wa Simba wamesema siku ya Leo walitaka kuitisha maandano , ili kupinga wao kufungwa na Yanga.
5. Wazee wa Simba wamesema Yanga wanajitapa kuwa ninl timu ya Wananchi, timu ya Serikali, na inasapotiwa na serikali, Hali inayopelekea wao kuonewa.
6. Wazee wa Simba wameenda mbali na kuhoji Je Mwigulu anapata wapi pesa za kiendesha timu, au ni hizi tozo zetu.
Kiufupi ni kuwa Simba wamechanganyikiwa na kufungwa na Yanga, Sasa wanataka kuhusisha kila kitu na Siasa na Serikali, Mimi nawashauri wasiingize serikali kwenye migogoro yao ya kipa na beki kujifunga
Mnakimbilia serikali kwanini msiseme fifa au Tff. Kumbe kiongozi wa Tff mke wakeamepewa kazi na Gsm na mwingine Bodi ya ligi kampuni yake imepewa tenda ya kufagia na Gsm.Hawa wazee shule hamna. Wameidhalilisha sana hiyo timu yao kwa kubwabwaja bila facts na logic
2. Wanatishia kuharibu uwanja wa Taifa. Serikali iwamulike hawa na kuwachukulia hatua
3. Haileweki hoja ya msingi ni ipi. Mara kayoko, GSM, udhamini vilabu nane, Mwigulu Nchemba, Tozo, Ccm na ujinga mwingine mwingi.
JE HUU NDIO MSIMAMO WA SIMBA KAMA TAASISI??