Wazee wa Simba wagundua mbinu zilizo wahujumu mechi ya derby

Bro.. fanya investement kwenye timu.. achA mazingaombwe!! Yanga alikukosa zaidi ya bao 4!!!
 
Hahahaha yaani wazee wanachekesha, hakika mchawi akishindwa kukuroga gizani lazima ajitokeze kulalamika eti kwanini anaonewa
 
Haujui soccer, endelea na taarab
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…