thundercat8
Senior Member
- Nov 25, 2015
- 172
- 384
Ugly car
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why?Ugly car
Imekaa kama advance ya impreza.Hii si ndio zile zenye hybrid?
Na hiyo ndio imeharibu.Hand brake ilipo kaa tu hapa sipendi gari za ivyo
Kumb na ww umeona kama mimiNa hiyo ndio imeharibu.
Iyo kaka siendeshi ata bure nilifundishwa na zile honda kubwa zile niliposhuka sikutaman kujaribu tenaSasa mkuu pikpki utaendesha. Wewe...
Ukishakuwa dereva....unatakiwa ujipe test mbalimbali,kufa kupo tu
Si kila subaru ina kelele, by deafault hazina, ni wabongo wanafanya modsKuna jamaa yangu anamiliki Subaru hapa jirani.. ule muungurumo ni kelele tosha. Sijawahi yaelewa haya magari
Nilijua yanatoka viwandani na keleleSi kila subaru ina kelele, by deafault hazina, ni wabongo wanafanya mods
NopeNilijua yanatoka viwandani na kelele
Bora kama hela ipo chukua aisee kuna jamaa yangu alichukua Honda freed 2018 hadi mkononi ilikuwa milioni 8 sasa nikawa nimeielewa hata matumizi ya mafuta anaenda 23km/liter sasa nikasema ngoja nichungulie bei leo inacheza 15-16 milioniNajua 2030 itakua imeshuka bei ngoja niisubiri
Usiombe ikutokee usiku na mvua ina nyesha hio siku sitasahauSio mzoevu sioni mbele wala taa nikaona yanini kuja kupata ajar hapa
Ilikuwaje ase?Usiombe ikutokee usiku na mvua ina nyesha hio siku sitasahau
Kwa sasa akili yangu ipo kwenye gari ya hybrid tu, nikiweka mioango sawa nitakuja tupeane ushauri.Ndio kaka ina hybrid yake.
Kwa sports cars haswa Subaru lazma handbrake iwe hapo. Inasaidia ukitaka kufanya michezo ya drifting, inakuw rahisi sana ku drift maana unainyanyua hyo handbrake. Lkn km ni mzee wa Raum na spacio na premio, hapo basi huna haja na hizi.Hand brake ilipo kaa tu hapa sipendi gari za ivyo
Ile wameenda nayo South nafikiri ni mazda cx5Niliona wakenya fulani mtandaoni wanaenda nayo Kenya. Ina muonekano mzuri kwangu mimi na kanaonekana kama kako comfortable kusafiri safari ndefu maana kama wale jamaa walienda hadi South Africa ikiwa ni gari ya kawaida lazima uugue.