Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Hio dua lazma kwanza msomaji awe msafi kwelikweli, na iliwezekana sana enzi hizo kwa sasa labda waroge ila kukuta mtu msafi wa kukusomea albadili ikafanya kazi kwa sasa ngumuHazifanyi sababu haijakukuta wewe, kwa ambae amewahi ombewa dua hii huwa linakukuta jambo