Al maktoum
JF-Expert Member
- Nov 23, 2022
- 499
- 678
Ni nani umjuae aliyedhuriwa na kisomo hicho Cha kichawi?!Hazifanyi sababu haijakukuta wewe, kwa ambae amewahi ombewa dua hii huwa linakukuta jambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nani umjuae aliyedhuriwa na kisomo hicho Cha kichawi?!Hazifanyi sababu haijakukuta wewe, kwa ambae amewahi ombewa dua hii huwa linakukuta jambo
Hii inatafuna hadi panya waishio ndani ya nyumba za watuhumiwa.KURUJUANI YA MZEE MAGOMA ndiyo kiboko!
Ni duwa mbaya,hata wakatoliki wanayo inaitwa novena,ba zinafanya kazi usipuuzeAlbadiri sio Dua , bali ni uchawi wa kiarabu. Ndio maana siku zote inasomwa kuleta madhara tu na sio manufaa. Huwezi sikia mgonjwa akasomewa albadiri ili spine au mwanafunzi akasomewa albadiri ili afaulu mitihani. Albadiri ni uchawi.
Tangu lini mshirikina akawa msafi?! Albadiri ni uchawi mwanzo mwisho la kusikitisha ni namna hao wasomaji wa albadiri wanavyopewa heshima ya ushekhe wakati ni wachawi wakubwa!Hio dua lazma kwanza msomaji awe msafi kwelikweli, na iliwezekana sana enzi hizo kwa sasa labda waroge ila kukuta mtu msafi wa kukusomea albadili ikafanya kazi kwa sasa ngumu
vipi Afande SeleAlbadir huwa haimwachi mtu salama.
Wajiandae waliotuma na waliotumwa.
Wasije wakawa wale walio msomea AFANDE SELE ALBADILI afariki Ila AFANDE SELE ANADUNDA MPAKA LEOKutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.
Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk
Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga
Yaani mapema mno tutaona makopo yanapungua mtaani.Hii itakula mpk kwa maza
Sikujua kama na yeye alisomewa na wazee wa Tanga!vipi Afande Sele
Wameshamaliza Masauni tayari kanaswa na albadir anazunguka tu hapo msibaniNipo tayari kuwapatia chungu kipya, ndimu, sindano na mnyama mwenye miguu minne.
Hii mtafanya nyie CCM sisi albadir inatosha, huo Masauni tayari kanasaKwa hiyo sasa tuachane na uchunguzi tujikite kwenye albadil!?
Haina shida, kikubwa iwaondoe wote walioshiriki ushetani huo!Albadiri ni ushirikina
Mentali nani hapo sasa ,yule aliyezomewa juzi