SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Watahonga wangapi, hapa Kwa msisi Handeni wazee wanafanya ya kimila zinahitaji ndoo sita za mate hadi Jumamosi , hili nyugu siyo la kitoto, na Pangani nako wamejipanga kivyao lazima kieleweke tu, huko Mbaramo Lushoto nako wazee wameshamaliza tangu jana wanasikilizia matokeo tu.Hilo ni wazo zuri ila ninachojua watahongwa isisomwe ,pia wazee wanaweza kushitaki kwa mizimu yao itajibu tu.