and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Ndio, kisomo kinafanya kazi.🤣🤣Kwahiyo naye kasomewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio, kisomo kinafanya kazi.🤣🤣Kwahiyo naye kasomewa?
Hata Wachina wanayo yaoUmeongea kitu kigeni kwa wengi, kuna mdada ni mkristo na ni mtu wa tiba hupenda sana kuzungumzia Novena na maajabu yake.
Wewe ndio wa kujibu maana unadai kuwa wewe haurogeki na ndio maana unatangaza watu wakuroge. Kusema hurogeki kuna maana ya kwamba una kinga ya uchawi haukufiki ndio maana haurogeki.Ndio tujiulize sasa 🤔
Pia kuna ile sijui wanaita tego, inateketeza kila kitu.Hata Wachina wanayo yao
Ukimdhulumu Mchina na akaamini kwamba umemdhulumu hapo ujue Safari imewadia !
Mpaka wamekuja na bunduki unadhani huo ugomvi ni mdogo?Kwani ulikuwa ni ugomvi?
Wewe sio Muislamu ni Muislamu JinaHakuna cha albadiri wala albajoto mimi ni muislamu na nimechukizwa sana na hichi kitendo ila kusema ukweli izo dua za albadiri sijui albajoto hamna lolote zaidi ya watu kufanya ushirikina tu
Muislamu wa kweli anoijua vizuri dini yake hafanyi huo upuuzi
Hujui ata uliongealo ndo nyie elimu ya tawhiid sifuri mnaishia kwenye shirki na masheikh wenu wa mchongoWewe sio Muislamu ni Muislamu Jina
Nini maana ya Kisasi ni Haki ?!!!Hujui ata uliongealo ndo nyie elimu ya tawhiid sifuri mnaishia kwenye shirki na masheikh wenu wa mchongo
Huu uzi unaenda mbio sanaU
kiua nawe utauawa hata kwa maombi !
Damu ya mtu ni nzito !
Na wasisome haraka ili hawo mbwa waliomuua mzee Kibao washikwe na mapepo wawe machizi waokote chakula majalani kwa mwaka mzima. Kisha waugue upele mwili mzima kwa muda wa miaka 2 kabla ya kugongwa na magari yawasage hadi ubongo. Ubaya, umbwela!Kutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.
Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk
Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
hao wasomaji wa alal badri wapo basi?Kutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.
Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk
Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Wewe sio Muislamu ni Muislamu Jina tu uislamu halisi haukosi dua liwe baya liwe jema litaenda tu Wewe Muislamu wa mchongo unateka unaua kisha kesho upo Msikitini dua litakufuata huko huko iite shirki Ila inaitwa duaHujui ata uliongealo ndo nyie elimu ya tawhiid sifuri mnaishia kwenye shirki na masheikh wenu wa mchongo