Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Ali Mohamed Kibao

Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Ali Mohamed Kibao

Ndio tujiulize sasa 🤔
Wewe ndio wa kujibu maana unadai kuwa wewe haurogeki na ndio maana unatangaza watu wakuroge. Kusema hurogeki kuna maana ya kwamba una kinga ya uchawi haukufiki ndio maana haurogeki.
 
Hakuna cha albadiri wala albajoto mimi ni muislamu na nimechukizwa sana na hichi kitendo ila kusema ukweli izo dua za albadiri sijui albajoto hamna lolote zaidi ya watu kufanya ushirikina tu

Muislamu wa kweli anoijua vizuri dini yake hafanyi huo upuuzi
Wewe sio Muislamu ni Muislamu Jina
 
Kuna jamaa alivunjiwa duka la nguo na kuibiwa alitangaza pale mtaani kama Kuna mtu amehusika aende wayamalize na alitoa mda hakuna aliyejitokeza baada ya hapo tulihushudia kifo Cha mmoja baada ya mwingine vijana walioshiriki kuiba wote tumeshawazika..hi kitu ipo mtu ukimfanyia ubaya akiamua anakupoteza..
 
1002294727.jpg
 
Hujui ata uliongealo ndo nyie elimu ya tawhiid sifuri mnaishia kwenye shirki na masheikh wenu wa mchongo
Nini maana ya Kisasi ni Haki ?!!!
Maana yake ni kwamba kama huwezi kusamehe na huwezi kupambana na aliyekuumiza kwa lolote lile basi shitaka lako lipeleke kwa Mwenyezi Mungu ambaye yeye ndio Hakimu wa Mahakimu wote !!
Na hiyo ndio Albadir Kurjuaan 😳

Hata Maulid wengine wanaita ni Bidaa lakini wengine wanaendelea kuyafanya !
Wengine hawafungi Ramadhan mpaka Mwezi uonekane Nchini mwao, lakini wengine wanafunga Ramadhan hata Mwezi ukionekana Venezuela !

Hizo zote ni tofauti za mapokeo na Tafsiri tu !
Mambo yote hayo yalikuwepo na bado yapo na yataendelea kuwepo ,

Na watu wataendelea kuisoma Albadir kila watakapoona iko haja ya kufanya hivyo 😳🙌
 
Kutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.

Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk

Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Na wasisome haraka ili hawo mbwa waliomuua mzee Kibao washikwe na mapepo wawe machizi waokote chakula majalani kwa mwaka mzima. Kisha waugue upele mwili mzima kwa muda wa miaka 2 kabla ya kugongwa na magari yawasage hadi ubongo. Ubaya, umbwela!
 
Kutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.

Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk

Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
hao wasomaji wa alal badri wapo basi?
 
Hujui ata uliongealo ndo nyie elimu ya tawhiid sifuri mnaishia kwenye shirki na masheikh wenu wa mchongo
Wewe sio Muislamu ni Muislamu Jina tu uislamu halisi haukosi dua liwe baya liwe jema litaenda tu Wewe Muislamu wa mchongo unateka unaua kisha kesho upo Msikitini dua litakufuata huko huko iite shirki Ila inaitwa dua
 
Back
Top Bottom