Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Sio ushirikina sio kisomo ni dua unatumiwa kifurushi cha majini kadhaa wakushughulikieWatu wa mnyazi mungu ushirikina wanaita kisomo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio ushirikina sio kisomo ni dua unatumiwa kifurushi cha majini kadhaa wakushughulikieWatu wa mnyazi mungu ushirikina wanaita kisomo
Watu hawajui kumbe linapigwa Duajuani moja Albadiru lazima tu ajiheshimu atasema yeye ndie anaeteka na kuua kwani wale wengine mpaka kuropoka hadharani kupenda pigwa Duajuani mpaka ukikaa mbele ya umati unaanza kujieleza uliyoyafanya watu wabaki midomo wazi aah kumbe muhusika ndio WeweU
kiua nawe utauawa hata kwa maombi !
Damu ya mtu ni nzito !
Kwa kuchanga tu… mko njemaWakihitaji mchango wowote wasisite kusema wazee wetu.....
Albadiri ,sio albaridi=albajotoHakuna cha albadiri wala albajoto mimi ni muislamu na nimechukizwa sana na hichi kitendo ila kusema ukweli izo dua za albadiri sijui albajoto hamna lolote zaidi ya watu kufanya ushirikina tu
Muislamu wa kweli anoijua vizuri dini yake hafanyi huo upuuzi
Ndio ushirikina wenyewe, Dua anaombwa Mungu tu unayemuamini huo mwengine ushirikina tuSio ushirikina sio kisomo ni dua unatumiwa kifurushi cha majini kadhaa wakushughulikie
Uchawi ndio ushirikina wenyewe. Kila mchawi ni mshirikina japo mshirikina anaweza asiwe mchawi. Ili kufanya uchawi yatakiwa kuomba msaada kwa roho wachafu na huo ndio ushirikina wenyewe.Wachawi au washirikina?
Nawe ukitaka sema uchangiweKwa kuchanga tu… mko njema
Ndio maana halisi ya SACCOS
May he rest in eternal peace… a victim of unnecessary attack. Waliomuua walaaniwe
Huyu Tayari Mkuu kashakuwa KICHAAKama namuona Peter Msigwa mavi yanagonga chupi na kurudi ndani
🥶🥶Hii itakula mpk kwa maza
Nichangieni jamaniNawe ukitaka sema uchangiwe
Leta namba ulipiweNichangieni jamani
Nina hali mbaya sana - gari yangu imeisha matairi