Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Ali Mohamed Kibao

U

kiua nawe utauawa hata kwa maombi !
Damu ya mtu ni nzito !
Watu hawajui kumbe linapigwa Duajuani moja Albadiru lazima tu ajiheshimu atasema yeye ndie anaeteka na kuua kwani wale wengine mpaka kuropoka hadharani kupenda pigwa Duajuani mpaka ukikaa mbele ya umati unaanza kujieleza uliyoyafanya watu wabaki midomo wazi aah kumbe muhusika ndio Wewe
 
Albadiri ,sio albaridi=albajoto
 
Yaani watu wanaoishi Israel alipotembea Yesu na Ibrahimu, hawaombi Albadiri wanatumia Silaha, alafu nyie mnakimbilia kulia lia na Albadiri nani aliwaroga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…