Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Hio dua lazma kwanza msomaji awe msafi kwelikweli, na iliwezekana sana enzi hizo kwa sasa labda waroge ila kukuta mtu msafi wa kukusomea albadili ikafanya kazi kwa sasa ngumuHazifanyi sababu haijakukuta wewe, kwa ambae amewahi ombewa dua hii huwa linakukuta jambo
Ushirikina ushirika sawa, hamna shida ....Sio kweli hmna chochote ni ushirikina tu kma wengine wanavoenda kwa waganga
Albadiri sio Dua , bali ni uchawi wa kiarabu. Ndio maana siku zote inasomwa kuleta madhara tu na sio manufaa. Huwezi sikia mgonjwa akasomewa albadiri ili spine au mwanafunzi akasomewa albadiri ili afaulu mitihani. Albadiri ni uchawi.Kutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.
Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk
Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga
Watu wasafi wapo wengi tu, hakuna linalo shindikanaHio dua lazma kwanza msomaji awe msafi kwelikweli, na iliwezekana sana enzi hizo kwa sasa labda waroge ila kukuta mtu msafi wa kukusomea albadili ikafanya kazi kwa sasa ngumu
Ngoja tuoneSio kweli hmna chochote ni ushirikina tu kma wengine wanavoenda kwa waganga
Nakuunga mkono hoja yako.Sio kweli hmna chochote ni ushirikina tu kma wengine wanavoenda kwa waganga
Kwa sasa wanaroga tu hamna cha albadiliWatu wasafi wapo wengi tu, hakuna linalo shindikana
AiseWakihitaji mchango wowote wasisite kusema wazee wetu.....
Naona waziri leo kapeleka miliin5 sijui ndio yakuizima albadiri au..?!Albadir huwa haimwachi mtu salama.
Wajiandae waliotuma na waliotumwa.
Wewe unategemea jipya gani jwenye uchunguzi kwa nchi zetu za kiafrikaKwa hiyo sasa tuachane na uchunguzi tujikite kwenye albadil!?
Dua la kuku tangu lini likampata mwewe!.Hii itakula mpk kwa maza
Tulieni mtaonaDua la kuku tangu lini likampata mwewe!.
Masheikh wanajua hayo, dua yoyote ile lazima uwe msafi else unafanya kazi bureHio dua lazma kwanza msomaji awe msafi kwelikweli, na iliwezekana sana enzi hizo kwa sasa labda waroge ila kukuta mtu msafi wa kukusomea albadili ikafanya kazi kwa sasa ngumu
Hiyo mbaya itawadhuru mpaka abiria wenzie walioshindwa kuwaziia watu wenye silaha kumshushaWasome ile ya mzee wa Yanga - aliyeshiriki, aliyepanga wooteeeeee!!