Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Sidhani,Kuna chochote sijasikia
Mpaka sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani,Kuna chochote sijasikia
Mpaka sasa
Hakuna namnaWe bwana we! Huogopi kuona tunda la wakubwa?
Albadiri ni Karma!!Albadiri ni mfano wa Guided Missile, ila kutumia mabavu ni Un-Guided sababu wasio na hatia wanaweza kufa bila sababu.
Kwa ile spichi huenda dua imeanza kuleta majawabu.Hapo sasa na imekuwa ikisomwa tangu miaka yote
Karne na karne imekuwa ikisomwa lakini husomwa kwa matukio machache ambayo yamewaumiza sana wahusika kiasi kwamba wameshindwa kuvumilia !
Kwahiyo mshirikina ni nani hasa?Uchawi ndio ushirikina wenyewe. Kila mchawi ni mshirikina japo mshirikina anaweza asiwe mchawi. Ili kufanya uchawi yatakiwa kuomba msaada kwa roho wachafu na huo ndio ushirikina wenyewe.
Mkuu upo....Bibi ataugua kichaa,chama kile kitakosa mgombea 2025
Naunga mkono kwa 105%
Kvp Comrade??.... Em tupe habariKisomo kimeanza Kujibu.....
Mungu wa Israel, tangu enzi za Farao, alijulikana kuwa ni mwenye nguvu kuzidi miungu wengine wote.Waanze na Ban Isiraeel..
Maana pale Ufilistin panawaka moto, vipi Iran Haina Mashekh wakapiga Albadr Mpaka akina Netapaka wakafa?
Mbuzi